Unapiga mahesabu hujaenda uwanjani? Teh. Humalizi na point 70 msimu huu.My Prediction Kwa Michezo Yetu 9 iliyobakia:
√ Man United (A) - Draw (61points)
√ Watford (H) - Win (64 points)
√ Palace (A) - Draw (65 points)
√ Everton (A) - Draw (66 points)
√ B'mouth (H) - Win (69 points)
√ WBA (A) - Draw (70 points)
√ Stoke (H) - Win (73 points)
√ Chelsea (A) - Draw (74 points)
√ Brighton (H) - Win (77 points)
Utabiri Wangu ni Kuwa Tutamaliza Msimu na Points 77 au Zaidi 77+ na si Chini ya Hapo.
Enough Points to finish inside the so called Top Four (though I hate it!).
Mbinu zimewashinda braza.Leo hawakupaki bus kama uliangalia vizuri, ilikuwa ni defence game ya kawaida. Kilichotucost ni wachezaji wetu kuunderperform. Milner aliongoza kwa wachezaji waliocheza hovyo leo, hana kiwango cha kupangwa mechi ya leo. TAA nae hivyo hivyo. Yapo mengi ningeongea lakini mi ni mvivu kutype
Wewe sio kocha, hata level ya uchambuzi haupo.Klopp amekosea sana tena sana kumtoa AOX alivyorudi vizuri kipindi cha pili, ningetegemea amtoe Milner na sio AOX.
Milner hana kiwango cha kucheza mechi ya leo, angeanza tu gini.
Klopp p amezidiwa mbinu leo, Mourinho katika tactic iliyomuweka juu leo ni Kuua movement zoote za forward zooote tatu.
All in all, dogo Rashford ni mchezaji chipukizi mwenye kipaji na akili.
Wewe sio kocha, hata level ya uchambuzi haupo.
Wewe ni shabiki.
Kocha anajua mbinu na wachezaji wapi watakaofit kwenye mbinu zake.
Kocha ndie anaefanya mazoezi na timu yake kila siku, anajua nani yupo fit na nani kimeo.
Kama unajua zaidi ya Klopp, nenda kaombe kazi Liverpool.
Unapiga mahesabu hujaenda uwanjani? Teh. Humalizi na point 70 msimu huu.
All in all, its a mere opinion the same as your reply.Wewe sio kocha, hata level ya uchambuzi haupo.
Wewe ni shabiki.
Kocha anajua mbinu na wachezaji wapi watakaofit kwenye mbinu zake.
Kocha ndie anaefanya mazoezi na timu yake kila siku, anajua nani yupo fit na nani kimeo.
Kama unajua zaidi ya Klopp, nenda kaombe kazi Liverpool.
Dogo yupo vizuri tu, sema leo wachezaji wetu wote wameperform below average!Wanesema anjua kushambulia et
Mkuu Lovren Kipindi Hichi Baada ya Kuja [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] anacheza Vizuri tu!
Na Kuhusu Aerial Duels Tokea Zamani Hajawahi Kuwa Mzuri na ni Marachache anayo win Mpira ya Juu.
Ni [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] pekee ambaye ni Best Kwa Kuwin Aerial Duels hasa Kwa Set-Pieces..
By the way Leo Kwa nilivyouangalia Mpira Hatukufungwa Kwasababu Tumecheza Vibaya! Bali Tumefungwa Kwa Some mistakes tu tulizofanya.
Kwatimu ilivyocheza inahitaji Pongezi kwani ilijitahidi Kutaka Kusawazisha lakini Haikubahatika.
Kapinduliwa kizembe goli la kwanza labda ozoefu badoDogo yupo vizuri tu, sema leo wachezaji wetu wote wameperform below average!
Hii bado haijaifikia Liverpool ya Kuit, Alonso na Torres. Na nyie Mane na Salah wakikosa tu hakuna mnachoweza kufanya. Maana wafungaji wenu ni Forminho, Mane na Salah tu.Mnatujazia tu thread kwa maelezo marefuu kujiona kama wao ndiyo wanaijua sana Liverpool tena wanajua kuliko hata JK
Thread ndefu hamna lolote la maana zaidi ya kuitana majina kama huyu anajua huyu hajui!
Liverpool hii ni imara kuliko Liverpool yyt ile ktk modern football na makombe yatakuja!
Hata hizo Barca sijui Madrid kuna miaka tena ya karibuni tu walikuwa wanatolewa na Liverpool wakarudi wakajipanga wakaanza kuchukua UCL
JK ni kocha sahihi kwa Liverpool anaisuka team na makombe yataanza kuja tu!
Points 70 ni za kufikia tu mkuu...boys will come back very strongUnapiga mahesabu hujaenda uwanjani? Teh. Humalizi na point 70 msimu huu.
Leo hawakupaki bus kama uliangalia vizuri, ilikuwa ni defence game ya kawaida. Kilichotucost ni wachezaji wetu kuunderperform. Milner aliongoza kwa wachezaji waliocheza hovyo leo, hana kiwango cha kupangwa mechi ya leo. TAA nae hivyo hivyo. Yapo mengi ningeongea lakini mi ni mvivu kutype
Kwa maneno kama haya Liverpool huwa mko vizuriSTAT: No side has scored more away league goals in the big five European leagues this season than Liverpool (34, level with Lyon).
MuseumLeo Liverpool imethibitishia Ulimwengu Kuwa inazifunga Timu Kubwa Na Kufungwa na Vitimu Vidogo! Kwahiyo Leo tumefungwa Na Kitimu Kidogo cha Manure na Washabiki Wake Wamefurahi Kuifunga Timu Kubwa ya Liverpool.
Ukweli ndiyo huo, timu ndogo zinatusumbua sana...including Manure!Museum
Sijakataa lakini kumbuka timu yako haina cha kujivunia nje ya museumUkweli ndiyo huo, timu ndogo zinatusumbua sana...including Manure!
Pole sana weweMimi nimeona kama wamecheza 6-3-1 walikuwa na wachezaji wawili wa kiungo cha kushambulia waliohangaika huku na kule Sanchez na Mata. Rashid alikuwa anaingia ndani kusaidiana na Mwalukaku.
Hakika wamefanikiwa. Mo alibadili kidogo mfumo wake wa kujilinda na siku zote hafeli katika hilo.