Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Rashford 2 vs Liver 0...kuangalia mpira bar raha sana..NAONA MASHABIKI WA LIVERRPOOL WANACHANA MIKEKA YAO HAPA. Muhindi kashawapiga.
 
Fanyeni mpango muwapumzishe Salah na Chambeln..wamedorora sana leo.
 
2 shots, 2 shots on target 2 goals: what a wonderful statistics
 
Mm pia ni mara chache ila nimepatwa mshangao kuona jinsi jukwaa tunalitawala kama hakuna wahusika, aisee kuna watu wana roho nyepesi sana
Hahahaha. Wamepigwa ma 2 ya mapema. Ndo tatizo wamechanganyikiwa mkuu.
 
Waje wafarijiane sasa wanaweza rudisha, ila mmh sidhani mana Mourinho akishafunga geti ndio basi tena
Kurudisha ni ngumu, huyu jamaa hatakiwi kukuanza. Inatakiw umuwahi. Hata akibahatika lisizidi goli 1
 
Waje wafarijiane sasa wanaweza rudisha, ila mmh sidhani mana Mourinho akishafunga geti ndio basi tena
Kurudisha ni ngumu, huyu jamaa hatakiwi kukuanza. Inatakiw umuwahi. Hata akibahatika lisizidi goli 1
 
Fanyeni mpango muwapumzishe Salah na Chambeln..wamedorora sana leo.
Chamberlain na Milner ndio sababishi pamoja na beki TAA.

Salah ni forwaed kwa hiyo kupokea upinzani mkali kutoka kwa mabeki kitu cha kawaida sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom