Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nafikiri TAA anatolewa kafara. Lovren ameshindwa mara mbili kucheza mipira ya kichwa hali iliyosababisha Mpemba aonekane nyota na hatari mbele ya TAA.
Dhahiri ugonjwa wa mipira ya hewani unataka kurudi tena.
Bola wewe umeliona japo dogo nae hakutakiwa kwenda kukaba kizembe
 
Leo Liverpool imethibitishia Ulimwengu Kuwa inazifunga Timu Kubwa Na Kufungwa Vitimu Vidogo! Kwahiyo Leo tumefungwa Na Kitimu Kidogo cha Manure na Washabiki Wake Wamefurahi Kuifunga Timu Kubwa ya Liverpool.
Hivi nyie majogoo mkitiliwa kitunguu swaumu au tangawizi ipi mnanoga zaidiii?
Ndiyo naenda sokoni kununua viungo
 
Screenshot_20180310-173815.png
 
Mkuu tatizo Mourinho anarudi na mbinu ya kuweka bus nyuma kwahyo mnahitaji zaidi ya mbinu
Leo hawakupaki bus kama uliangalia vizuri, ilikuwa ni defence game ya kawaida. Kilichotucost ni wachezaji wetu kuunderperform. Milner aliongoza kwa wachezaji waliocheza hovyo leo, hana kiwango cha kupangwa mechi ya leo. TAA nae hivyo hivyo. Yapo mengi ningeongea lakini mi ni mvivu kutype
 
Leo Liverpool imethibitishia Ulimwengu Kuwa inazifunga Timu Kubwa Na Kufungwa Vitimu Vidogo! Kwahiyo Leo tumefungwa Na Kitimu Kidogo cha Manure na Washabiki Wake Wamefurahi Kuifunga Timu Kubwa ya Liverpool.
Umetumia kigezo gani?makombe?idadi ya mechi mlizoshinda?au ushabiki?
 
Tumecheza Vizuri...
Si Makosa ya Timu...
Si Makosa ya Kocha...


Ni Individual Mistakes za Trent Alexander-Arnold Ndiyo Zilizotufanya Tupoteze Mchezo...
Timu ina Consistency Nzuri tu...
Tujipange Kwa Next game...


[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
Klopp amekosea sana tena sana kumtoa AOX alivyorudi vizuri kipindi cha pili, ningetegemea amtoe Milner na sio AOX.

Milner hana kiwango cha kucheza mechi ya leo, angeanza tu gini.

Klopp p amezidiwa mbinu leo, Mourinho katika tactic iliyomuweka juu leo ni Kuua movement zoote za forward zooote tatu.

All in all, dogo Rashford ni mchezaji chipukizi mwenye kipaji na akili.
 
Mchezaji kama trent alexander arnold.hana uwezo huyo wa kucheza Liverpool yeye na mwenzake gomez ,wanapata namba kwa sababu clyne ayupo ,dawa nikuwapiga bench kabisa na kuwauza kabisa

Umemaliza mkuu!
 
Leo hawakupaki bus kama uliangalia vizuri, ilikuwa ni defence game ya kawaida. Kilichotucost ni wachezaji wetu kuunderperform. Milner aliongoza kwa wachezaji waliocheza hovyo leo, hana kiwango cha kupangwa mechi ya leo. TAA nae hivyo hivyo. Yapo mengi ningeongea lakini mi ni mvivu kutype
Nikweli mkuu mambo madogo tu yamewaangusha tena kama kuruhusu zile gori mapema ndio ilikua sumu yenu
 
Klopp amekosea sana tena sana kumtoa AOX alivyorudi vizuri kipindi cha pili, ningetegemea amtoe Milner na sio AOX.

Milner hana kiwango cha kucheza mechi ya leo, angeanza tu gini.

Klopp p amezidiwa mbinu leo, Mourinho katika tactic iliyomuweka juu leo ni Kuua movement zoote za forward zooote tatu.

All in all, dogo Rashford ni mchezaji chipukizi mwenye kipaji na akili.

Hakuna chambinu hapo dogo anold kazingua leo,magoli yote yamepitia kwake,man u kapata shoot on target 2 na ndio zote kafunga .
 
Chambalin unamuonea tu mane ameongoza kwa kupoteza mipita
Anaetegemewa siku zote kupoteza mipira uwanjani ni Forward mkuu, Mane ni forward.

Huyo Chamberlain amecheza hovyo kipindi cha kwanza ila akarudi vizuri kipindi cha pili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom