Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Walivyotolewa PSG liver hawakutia maji
Walipotolewa Chelsea Liver hawakutia maji pia
Walipotolewa City mkajifanya majogoo
Sasa leo nmefanywa kuku wa nyama
 
REVENGE YA NYOOOKO
20220529_003105.jpg
 
Binafsi naona hatukuwaheshimu Madrid hatukujifunza kwa PSG city na Chelsea kupitia timu hz klopp ilibid apate somo kwann timu zile ngumu zilitolewa na Madrid

Tumefunguka Sana huku wenzetu wakicheza kwa tahadhar kubwa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Niliwambia mapema kuwa leo mtalala na viatu mnywe maji mengi sijui hamkunielewa vizuri
 
Binafsi naona hatukuwaheshimu Madrid hatukujifunza kwa PSG city na Chelsea kupitia timu hz klopp ilibid apate somo kwann timu zile ngumu zilitolewa na Madrid

Tumefunguka Sana huku wenzetu wakicheza kwa tahadhar kubwa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
RM akifika ¼ final huwa hakubali kutoka kirahisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom