Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawa vinabo wanaenda kufanya parade na Micky mouse cup


Lini mtu akichukua fa au carabao anafanya parade ?
 
Real Madrid wamezifunga hizi timu hadi kuwa bingwa wa UCL tena kwa shida isipokiwa Livakuku
PSG mabingwa wa Ufaransa
Chelsea mabingwa watetezi wa UCL, Dunia, na mshindi nafasi ya tatu EPL
Mancity bingwa wa EPL
Liverpool Carabao, FA na mshindi wa pili wa EPL
So....
Madrid ni klabu bora duniani
 
Imagine admin wenu wa twitter alikuwa anazungumza habari za parade.

You guys hampo serious.
 
Pambaneni na timu zenu,hali zenu ngumu mmejaa humu

Bahati imeangukia kwao, sio kwamba wapo vizuri
Eti hawako vizuri, kabla ya kufika finali Madrid amekutana na timu zipi alafu linganisha nawewe timu ulizokutana nazo hadi unafika fainali,kwakifupi Liverpool ulipita vichochoroni ulipoibuka tu umekuta mwanaume anakusubiri, umepigwa nakitukizito.
 
Binafsi naona hatukuwaheshimu Madrid hatukujifunza kwa PSG city na Chelsea kupitia timu hz klopp ilibid apate somo kwann timu zile ngumu zilitolewa na Madrid

Tumefunguka Sana huku wenzetu wakicheza kwa tahadhar kubwa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mzee haya mambo sometimes hua ni bahati tu
Mpira tumecheza haswa,tumeshambulia, tumekosa magoli sio kizembe ni bahati tu ilikua upande wao, sijaona mapungufu ya timu kwa ujumla

Madrid wamepata nafasi moja ikawa goli, sisi tumepata nafasi kibao ila hatukua na bahati ya kupata goli
 
20220529_004611.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom