kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,750
- 12,137
Hujaangalia mpira,sio nyie wa kufungwa 5😆😆tabu ipi mmewapa? kushindwa kuscore hata goal moja ndio tabu mliyowapa?
Hujaangalia mpira,sio nyie wa kufungwa 5😆😆tabu ipi mmewapa? kushindwa kuscore hata goal moja ndio tabu mliyowapa?
Agent aliyemtoa aliyemtuma au?Courtous agent wa Chelsea, ogopa matepeli








alikuwa haelewi kabisa 
UEFA sio CARABAOKuku kishingoo![]()
Ndio hivo,hawakua na lolote la kutosha.For sure. Mikono ya Courtois imepeleka kombe Madrid.
Waache washushe machungu mkuuSisi tumetolewa fainali, na tuliingia fainali je' nyie?



Huyuhuyu madrid alikupiga 3 ndani ya dk5Mnafanya parade na carabao ?
Fala Nini![]()
Chakushangaza hadi Arsenal wapo hum![]()



kazi kwelikweli, nao wamekuja kuchangia mambo ya UEFA.Liverpool kama baiskeli ya kunolea visu kelele nyingi lakini iko hapohapo





Haya ndo matatizo ya beki kuzoea kushambulia, Trent kasahau kukaba kaichomesha timu.Salah, diaz na Trent hawako vizuri

Ha ha ha ...REVENGE YA NYOOOOKO

Timu imejaa vitoto tupuLeo Ramos hayupo
Salah kacheza hadi sasa
Karius hayupo golini yupo GK class
Hamna visingizio leo

Tumecheza mpira mzuri,bahati haikua kwetu






leo ndo bahati haikua kwenu eeeh?Ulimsahau Vini.Hatima yetu naiona ipo mikononi mwa Mane au Fabinho, let's see in the next 45 minutes.
Ulidhani Madrid ni sawa na vitimu vyenu vya EPL mnavyopiga nyumbani na ugenini, vinawatangulia mnarudisha na kuvifunga?







Sahii kabisa,Luiz Diaz n mchezaj ambaye anatakiwaaingie bado dk 20 awe Kama game changer pale timu pinzan inapokuwa imechoka
Wenzetu camavinga humtumia kwa namna hyo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Bado tunayo nafasi ya kuchukua Quadruple jamani , ondoeni shaka.
Second leg tunapindua meza kibabe.
Au nasema uongo ndugu zangu?












Unaikumbuka hii comment yako. Tuliitunza sana.Liverpool ndio mabingwa ya makombe yote msimu huu tunzeni hh koment