Nihuyo Mimi
Member
- Nov 8, 2021
- 9
- 15
wakuu mtu mwenye link ya game yetu msaad pleaseSawa mwanitesa
Tumekupata tena
Washabikie hao madrid..utatoka na maumivu huku ukijiandaa kwenda conference.
wakuu mtu mwenye link ya game yetu msaad pleaseSawa mwanitesa
Tumekupata tena
Washabikie hao madrid..utatoka na maumivu huku ukijiandaa kwenda conference.
Mi Chelsea Leo nipo na Mo salah + Sergio Mane .Check hapaView attachment 2242710
Kwa Leo tuLiverpool Fans tutambuane mapema tafadhali sana wakurugenzi![]()
Ni kwa leo tu, mi ni Chelsea FC fan, lakini siwezi kushabikia timu ambayo ishabeba ubingwa zaidi ya mara 13, unadhani lini itatokea hata timu nyingine ikaikaribia kwa idadi hizoKwa Leo tu


Labda wewe ulikosea kuidownload sisi twa enjoy tuHii App ya kijinga
Wamejaza mimaneno tu haieleweki..na haionyeshi.
Upo uwanja I nn wazungu hawna hzo mbishe za kishambaHii mechi leo inaweza kusababisha kukatokea majanga makubwa sana uwanjani, Ufaransa inaonekana haikujiandaa ni kama vile imeshtukizwa tu mashindano kufanyika kwao.
Uwanja umeshajaa na bado kuna mashabiki wengi sana wapo nje ya uwanja wana force kuingia ndani,
Wengine wameshafanikiwa kuruka viuzi na kuingia uwanjani kwa nguvu, nje kuna nyomi kubwa sana la watu na inaelekea ulinzi umekua mdogo kiasi kwamba wanazidiwa nguvu na mashabiki.
Nilidownload hiyohiyoLabda wewe ulikosea kuidownload sisi twa enjoy tuView attachment 2242771
Camila cabbelo mkuuNaomba jina la mdada aliyetumbuiza pale tafadhari sana waungwana wenzangu
AsanteCamila cabbelo mkuu