Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Real Madrid wamezifunga hizi timu hadi kuwa bingwa wa UCL tena kwa shida isipokiwa Livakuku
PSG mabingwa wa Ufaransa
Chelsea mabingwa watetezi wa UCL, Dunia, na mshindi nafasi ya tatu EPL
Mancity bingwa wa EPL
Liverpool Carabao, FA na mshindi wa pili wa EPL
So....
 
Tumecheza mpira mzuri,bahati haikua kwetu
Nyie mlikuwa mnacheza Europa tu

Vs inter Milan

Vs benifica

Vs villareal


Sasa hio ni CL ?

Wakati wanaume wanacheza CL

Vs psg

Vs Chelsea

Vs man city

Harafu wewe fala fala wa Europa et u hukue CL [emoji28][emoji28]

Quadraple ya makalio labda
mancity_mcfc-20220529-0001.jpg
 
Imekuwaje goal la benzema likawa offside? Kwa kweli sijaelewa. Labda kama pale alipoanza kukimbia lakini picha za marudio hawaonyeshi hilo tukio.

Tushukuru Mungu maamuzi ya VAR. Tungekuwa na hali mbaya sana.
Nikusaidie tu hakukuwa na golikipa golini offside inaanza kuhesabiwa kwa mlinzi wa pili baada ya golikipa so wakati benzema anapokea mpira ili afunge golikipa alikuwa mbele ya benzema
 
Hoooooo!msimu huu makombe yote ma nne(4) tuna beba haya mmeishia vikombe vya uji.
 
Nyie mlikuwa mnacheza Europa tu

Vs inter Milan

Vs benifica

Vs villareal


Sasa hio ni CL ?

Wakati wanaume wanacheza CL

Vs psg

Vs Chelsea

Vs man city

Harafu wewe fala fala wa Europa et u hukue CL [emoji28][emoji28]

Quadraple ya makalio labda View attachment 2242863
😆😆😆😆sasa man city mmepata wapi hio nguvu kila siku mnashindwa Uefa
 
Nyie mlikuwa mnacheza Europa tu

Vs inter Milan

Vs benifica

Vs villareal


Sasa hio ni CL ?

Wakati wanaume wanacheza CL

Vs psg

Vs Chelsea

Vs man city

Harafu wewe fala fala wa Europa et u hukue CL [emoji28][emoji28]

Quadraple ya makalio labda View attachment 2242863
Utakaaga kuliota UEFA ndotoni. Sie 'fala fala' tushayabeba sita, wewe 'mjanja mjanja' hujawahi kuwa nalo hata moja.
 
Walivyotolewa PSG liver hawakutia maji
Walipotolewa Chelsea Liver hawakutia maji pia
Walipotolewa City mkajifanya majogoo
Sasa leo nmefanywa kuku wa nyama
Waonee huruma wenzako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom