21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Usafiri gani boss pole sanaRoho inaniuma nimeibiwa usafiri na Liverpool hawajafunga goli naumia sana leo
Usafiri gani boss pole sanaRoho inaniuma nimeibiwa usafiri na Liverpool hawajafunga goli naumia sana leo
PoleeeeNa kuna kushinda njaa pia.
Mpira bado mkuu, kwani baskeri yako anita ulii paki wapi?Roho inaniuma nimeibiwa usafiri na Liverpool hawajafunga goli naumia sana leo
Tumecheza vizuri. Kanote anatumia nguvu sana. Aongeze na akili
Asante sana.Man U Watacheza Uropa league.
Westham ndio watacheza conference.
Lipo. Owner wake ni Salamander. Angalia vizuri. Uzi upo juu kabisaHivi inakuaje timu yenye mafanikio makubwa kama Real Madrid inakosa jukwaa humu Jf halafu Barcelona ikawa nalo?
Bado najiuliza hili swali sipati jibu.
Haya sisi wa Real Madrid tu comment wapi?
Bhanaaaaa oil money noma siku hawa jamaa wakianza chukua UCL naona itakua back to back kama ambavyo sasa EPL wanataka kuweka hati miliki.Hapo kwa Manchester United hapo kikwazo kikubwa cha yeye kuwa na UCL tatu ni Pep Guardiola kumbuka final ya 2009/2010 pamoja na 2011/2012 The same to you mpaka sasa mngekuwa na EPL tatu ila kikwazo kikubwa ni Pep Guardiola na pesa zao za mafuta😀😀😀.
Hii Kitu mi mwyw imenishangaza SanaImekuwaje goal la benzema likawa offside? Kwa kweli sijaelewa. Labda kama pale alipoanza kukimbia lakini picha za marudio hawaonyeshi hilo tukio.
Tushukuru Mungu maamuzi ya VAR. Tungekuwa na hali mbaya sana.

Mkuu,RM Imekosa jukwaa au ni wewe hujaliona?Hivi inakuaje timu yenye mafanikio makubwa kama Real Madrid inakosa jukwaa humu Jf halafu Barcelona ikawa nalo?
Bado najiuliza hili swali sipati jibu.
Haya sisi wa Real Madrid tu comment wapi?
Hukubaliani na wataalamu waliopo ulaya weweImekuwaje goal la benzema likawa offside? Kwa kweli sijaelewa. Labda kama pale alipoanza kukimbia lakini picha za marudio hawaonyeshi hilo tukio.
Tushukuru Mungu maamuzi ya VAR. Tungekuwa na hali mbaya sana.
Ni offside kwa sababu alikiwa mchezajo wa poli. Kipa angekuwa golini osingekuwa offside. Swali langi ni kwamba mchezajo wa Liverpool aliucheza huo mpiraHukubaliani na wataalamu waliopo ulaya wewe