Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sawa
Lakini kama sikosei ni wewe majuzi tu ulikuwa unadai tuwe na hope kuhusu hili na tuache mpira upigwe uwanjani.

Mimi naona tusubiri tu baadaye kidogo tutajua lipi ni lipi..

Tutatoboa au kutobolewa..

Hapana! Sijawahi kuzungumzia hilo unaloninukuu! Kitu nilichowahi kuongea hapa ni kumkosoa Mdau/Mshabiki wa Liverpool ambaye kila Mechi tunatocheza kuwa analalamika tunafungwa ndiyo nikamwambia atazame mpira kwa matumaini.

Hivyo kwa aina ya post zangu huwa sizungumziagi Ubingwa.
 
Leo naconcentrate zaidi kwenye game ya Arsenal, na game ya Spurs kuliko game ya Liverpool.
 
Yaani Liverpool wamepigwa goli rahisi mapema kabla hawajajipanga aisee..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom