Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Italy ligi nyepesi kule ..alafu uyu dgo akipata kocha Kama Klopp au ata arteta Basi ata shain sana
#CFC💙💙💙
Hahaha Roma sioni wakamtoa hivi hivi ni kweli Arsenal walitajwa kumtazama lakini Mourinho itakua ngumu kumwachia.

Dogo ana kipaji na chini ya Mourinho ame improve sana.

Klopp sijajua lini atarejea kutumia namba 9 halisi kwa sasa naona hii false 9 inampa anachokitaka.

YNWA
 
Hili kombe la kipara Mzee ... City mwenzenu ana cha kupoteza sahv hayupo FA , wala uefa ya kuiwazia ..hapo j5 klop anaweza akaumiza Kichwa kufanya rotation game ya Aston villa wkt city game yake yy anaweka bampa to bampa ...yaan mtegemee cjui wolves wawastopishe city sahauni

wazee wa imagine being liverfools bhana
Na ili tuchukue ubingwa lazima city Adroo na apate atleast hata moja nanikitu kisicho wezekana aisee, safar yetu imeishia hapo tusijipe matumain ambayo hayapo.
 
anakusubiri nawee akakuinamishe, andaa pain killer, wafaransa unajua show zao? Ooooh usiseme sijakuambia.
Dogo unaushabiki mandazi hivi em acha matusi kwa wakubwa zako, yaan mashabiki wa man city mnashindwaga kutoa hoja za maana hadi mtukane? Huyo unaye mwambia akainamishwe huenda ni baba yako.
 
Naona Kama EPL inataka kukukimbia hivi ..maana Jana umedrop point mbili vs Spurs na City kafumua mtu tano uko.

UEFA final uko na Madirid na siyo game nyepesi hiyo.
FA final uko na Chelsea na pia ni 50,50 maana kwa Sasa tunachechemea Ila lolote laweza kutokea.

Je, ikitokea umekosa makombe yote matatu utamlaumu Nani? Maana kikosi chenu kwa Sasa kipo ..tusubiri tuone msimu huu mutavuna nini.
#CFC
Mkuu ndio maana mimi nashauri ni bora tuachane na Epl tuwe tunapumzisha wachezaji muhimu ili tupamba ne na FA na UCL.
 
Pep ameweka Standard mpya ya kuwa ili ubebe EPL ni lazima uwe na uwezo wa kukusanya points 94+ tofauti na kabla yake ambapo points 82 tu unakuwa Bingwa.

Hivyo kutokana na Standard alizoziweka Pep ili uchukue Ubingwa ni lazima mpaka ikifika Januari uwe umemuacha kwa points 7+ kama tulivyofanya mwaka juzi.
Lakini akikupita yeye kwa point 1 tu inakupasa kuusahau Ubingwa.
Kabisa mkuu, kumbe wewe umenielewa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom