Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Kesho kuku anaenda ku draw tena Villa park



Pona yao labda Steven Gerrard awahurumuie, uzuri FA tayari imeshatoa onyo kwa Gerrard.
Kesho kuku anaenda ku draw tena Villa park



Nyinyi ndiyo mkaona kumsimamisha spurs Arsenal tutafaidi siyo?


AsaniAli analilia mbeleko, Aisee kwamba atatuachia bila bidii zetu... Haya ngoja tuone.Kesho kuku anaenda ku draw tena Villa park
Pona yao labda Steven Gerrard awahurumuie uzuri FA tayari imeshatoa onyo kwa Gerrard. View attachment 2218265
Si unajua Gerrard ni mtoto wenu kabisa hapo Anfield halafu siku zote damu ni nzito kuliko maji.Aisee kwamba atatuachia bila bidii zetu... Haya ngoja tuone.
YNWA
Tafuta chapati mwenzako wa conference league mpige storiAsaniAli analilia mbeleko,
Pambaneni na hali zenu, tukutane kwenye futuhi za Alhamisi huko matopeni.
Na watambeba naona wazee wa Liverpool wako busy na salah wanamsahau mane. Nisingependa aondoke but ukimuongezea salah dolari sioni why usimuongezee Mane au Van dyk au AnorldView attachment 2218305
Naona mambo usajili yameanza kwa kasi sana.
Bayern haooo wanamtaka Mane.
YNWA
Tafuta chapati mwenzako wa conference league mpige stori


UEFA ndio bye bye tena hio lazima makasiriko yawepo, Maana nyinyi kuja kushiriki tena Champions League ni miaka 10 mbele baada ya Kroenke kufariki. Home Boy hahaha... Bhana baada ya Klopp kuongeza mkatabat hakuna tena cha mtoto wa nyumbani kwake sasa ni kazi kaziSi unajua Gerrard ni mtoto wenu kabisa hapo Anfield halafu siku zote damu ni nzito kuliko maji.
Kama hawana muda na Mane hakika huyu ataodoka. Ikumbukwe kambi ya Mane washa fuatilia wakaambiwa ofa mpya mpaka June 2022.Na watambeba naona wazee wa Liverpool wako busy na salah wanamsahau mane. Nisingependa aondoke but ukimuongezea salah dolari sioni why usimuongezee Mane au Van dyk au Anorld
Tusubiri tuone, maana mpaka FA wameamua kutoa onyo itakua kuna viashiria fulani wameviona au wamevihisi vinaweza kutokea.Home Boy hahaha... Bhana baada ya Klopp kuongeza mkatabat hakuna tena cha mtoto wa nyumbani kwake sasa ni kazi kazi
YNWA
Hahahaha duuh you have made my day.Tusubiri tuone, maana mpaka FA wameamua kutoa onyo itakua kuna viashiria fulani wameviona au wamevihisi vinaweza kutokea.
Kikubwa wekeni nguvu nyingi kwenye Uefa, maana ikitokea bahati mbaya mkakosa makombe yote matatu PL, CL na FA hakuna atakae waelewa na akina sisi huku ndio mtakua mmetupa sababu ya kuchonga balaa.
jiandaeni kubeba vikombeUEFA ndio bye bye tena hio lazima makasiriko yawepo, Maana nyinyi kuja kushiriki tena Champions League ni miaka 10 mbele baada ya Kroenke kufariki.
Top4 mwakani kuna Man city, Liver, Chelsea, Man Utd, Newcastle, Spurs yaani hawa 6 ndio watakua na competition ya top4, nyinyi kuja kushiriki CL mpaka siku sheria zikidilishwa badala ya timu 4 iwe ni timu 8 ziruhusiwe kwenda CL na nyinyi ndio mtakuwepo.
bobby ni wa muhimu mno kuna game ambazo tunashindwa kupata nafasi behind the lines kwa namna anavyo prease akiwa katika form yake hata game dhidi ya totenham tungeimaliza mapema mno maana chances zingepatikana. kiukweli tunamuhitaji mno kwny fainali awe katika kiwango chakeView attachment 2217425
Bobby to score in Paris hahaha huyu ndio the man of the big occasions.
Come on team physio awe sawa kupambana Paris tutoke kifua mbele
YNWA
Klopp amesema kesho atapata dakika kadhaa ni habari njema sana maana wachezaji wengi naona kabisa wamechoka.. Nimetazama marudio gemu ya Tottenham Hotspurs nikaona dogo Trent kuna muda alikua kama anatembea huku Kane alishaona wapi pasi anaipiga na Trent hata goli lilivyofungwo alitarajia iwe kama ni offside.. Wamecheza high octane football miezi hii mitatu hivyo sishangae ninayaona sasa..bobby ni wa muhimu mno kuna game ambazo tunashindwa kupata nafasi behind the lines kwa namna anavyo prease akiwa katika form yake hata game dhidi ya totenham tungeimaliza mapema mno maana chances zingepatikana. kiukweli tunamuhitaji mno kwny fainali awe katika kiwango chake
Ilo onyo likowapi au ndo unaleta zile akili za nyumbu humuTusubiri tuone, maana mpaka FA wameamua kutoa onyo itakua kuna viashiria fulani wameviona au wamevihisi vinaweza kutokea.
Kikubwa wekeni nguvu nyingi kwenye Uefa, maana ikitokea bahati mbaya mkakosa makombe yote matatu PL, CL na FA hakuna atakae waelewa na akina sisi huku ndio mtakua mmetupa sababu ya kuchonga balaa.
Hivi shabiki wa nyumbu unapata wapi ujasiri kupita kwenye jukwaa kama hili wewe unatakiwa upite kwenye majukwa a ya kina Brentford na Everton hukoAcha kumfananisha Sir Alex Ferguson na vitu vya kijingajinga.
Huyo Kolosho wa liverfool EPL aliipata kwa kubahatisha. View attachment 2218251