Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwani Jota sio n.9 halisi?
Mhmh bwana dogo hana consistent especially akiumia hua anachelewa sana kurudisha makali yake.

Pale mbele Jota anacheza pia upande wa Mane ana jitahidi ila tangu atue Diaz ni kama ile namba anajimilikisha kibabe.

Nilimaanisha namba 9 halisi mwenye link up play kama Darwin au Kane vile.

YNWA
 
Screenshot_20220509_123145_com.android.chrome_edit_46545432957480.jpg


Huyu Ward jamani ana moto balaa kuna jambo wameliona kwa huyu dogo.

YNWA
 
Screenshot_20220509_123422_com.android.chrome_edit_46519513941859.jpg


Kwa taarifa hii noana ni rasmi dogo Neco Williams atauzwa sasa.

Huyu dogo Liverpool washatuma ma scout mara nyingi tu na tetesi ni kwamba anafaa sana kua msaidizi wa Trent.

YNWA
 
Screenshot_20220509_123735.jpg


Naona June dogo atapata mkataba wake.
Kambi yake wanadai angalau wapewe miaka 3 na kila wiki alipwe 300k,huu mshahara ni sahihi kwake kwani dogo ni mpambanaji haswaa kwa hii miaka 6 amekua akijituma mno kwa ajili ya hii klabu itakua jambo njema FSG wampe anachotaka.

YNWA
 
Inaweza kutokea muujiza wakampa kama George Weah.

Muda utasema akapata mafanikio zaidi na kufunga magoli muhimu naona anaweza kupata chance hata ya kuingia 3 bora.

YNWA

Umewahi kujiuliza kwanini MO Salah ndiye aliyepewa Tunzo ya Football Writer na sio Mane?
Hii inamana Salah ndiye Favourite wa Tunzo karibu zote msimu huu hasa ukiangalia Form ya Mane ni nusu ya pili ya Msimu huu After AFCON.
 
Umewahi kujiuliza kwanini MO Salah ndiye aliyepewa Tunzo ya Football Writer na sio Mane?
Hii inamana Salah ndiye Favourite wa Tunzo karibu zote msimu huu hasa ukiangalia Form ya Mane ni nusu ya pili ya Msimu huu After AFCON.
Nimeona wengine wanasema hio tuzo ya writers angepata VVD au KDB.

Ngoja tuone namna gani ili ligi inaisha.

Kura yangu PFA naona ikitua kwa KDB, Salah, Mane.

Kocha bora naona Klopp au Eddie Howe wa Newcastle.

YNWA
 
Tatizo Klopp atataka kubeba yote Kama Sir Furgie alivyofanyaga sijui msimu gani uko ..alibebaga FA,EPL na UEFA.

Je, nyie mutaweza?
Acha kumfananisha Sir Alex Ferguson na vitu vya kijingajinga.
Huyo Kolosho wa liverfool EPL aliipata kwa kubahatisha.
Screenshot_20220509_173533.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom