Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Saizi unaongea kwa adabu Sasa ,Kwetu Liverpool tunasema "NEVER SAY DIE"....
Ethad walisubiri jana waongoze EPL kwa pointi 4 too bad haikua hivyo pamoja na udhaifu wetu jana kushindwa kucheza mpira wetu tumetoka na pointi 1 ni jambo njema sana.
Jumamosi Wembley tarehe 16/4/22 tunapata tena nafasi ya kutafuta kuingia FA fainali dhidi ya Manchester City naamini pale Klopp atafunguka vyema kusaka ushindi na hamna cha kupoteza ni aidha ushindi ama tupo nje ya FA.
YNWA




Nyie mna mechi ngumu zaidi kushinda city...mna Newcastle, mna Tottenham hii ya Moto, mna Merseyside derby, Wale nyumbu sio mechi ngumu Labda maajabu yatokee.....na hata hvyo city hawezi kupoteza dhidi ya wolves wamekuwa wachovu Sana msimu huu

