Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwetu Liverpool tunasema "NEVER SAY DIE"....

Ethad walisubiri jana waongoze EPL kwa pointi 4 too bad haikua hivyo pamoja na udhaifu wetu jana kushindwa kucheza mpira wetu tumetoka na pointi 1 ni jambo njema sana.

Jumamosi Wembley tarehe 16/4/22 tunapata tena nafasi ya kutafuta kuingia FA fainali dhidi ya Manchester City naamini pale Klopp atafunguka vyema kusaka ushindi na hamna cha kupoteza ni aidha ushindi ama tupo nje ya FA.

YNWA
Saizi unaongea kwa adabu Sasa ,
 
Kwetu Liverpool tunasema "NEVER SAY DIE"....

Ethad walisubiri jana waongoze EPL kwa pointi 4 too bad haikua hivyo pamoja na udhaifu wetu jana kushindwa kucheza mpira wetu tumetoka na pointi 1 ni jambo njema sana.

Jumamosi Wembley tarehe 16/4/22 tunapata tena nafasi ya kutafuta kuingia FA fainali dhidi ya Manchester City naamini pale Klopp atafunguka vyema kusaka ushindi na hamna cha kupoteza ni aidha ushindi ama tupo nje ya FA.

YNWA
Japo si mshabiki wa hizi timu mbili ila hii game mkuu ilikuwa muhimu kwa pande zote mbili ilikuwa either Man City akufunge aongeze gape la point 4 au umtoe pale juu na of course kutoka draw ni ushindi kwa pande zote mbili.
 
Kwa hio hao ma staaa wako ambao Liverpool hatuna wamekufikisha wapi EPL msimu huu.

Tuache maneno mengi, data ziongee tazama msimamo wa EPL.

View attachment 2183428

Haya sasa hao ma staa wako hawachezi Ligi hii?

Duuh ila haya mambo acheni tu leo hii Chugga anavizia kuingia humu mpaka kwanza apate matokeo. 😂😂😂.. Ligi inaanza alikua hakauiki humu kusema bingwa ni yeye tu.

Haya wewe koma na ma staa wako sie na hawa wa kwetu tuna Carabao ambao ma staa wako hawakucheza😂😂😂

YNWA
Chelsea bado wanatengeneza timu ambayo Itakuwa ni tishio😀😀
 
City atapoteza dhidi ya wolves
Tutachukua sisi.
Jipeni Tu matumaini Nyie mna mechi ngumu zaidi kushinda city...mna Newcastle, mna Tottenham hii ya Moto, mna Merseyside derby, Wale nyumbu sio mechi ngumu Labda maajabu yatokee.....na hata hvyo city hawezi kupoteza dhidi ya wolves wamekuwa wachovu Sana msimu huu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Jipeni Tu matumaini Nyie mna mechi ngumu zaidi kushinda city...mna Newcastle, mna Tottenham hii ya Moto, mna Merseyside derby, Wale nyumbu sio mechi ngumu Labda maajabu yatokee.....na hata hvyo city hawezi kupoteza dhidi ya wolves wamekuwa wachovu Sana msimu huu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
We subiri utaona.
 
Kwa hio hao ma staaa wako ambao Liverpool hatuna wamekufikisha wapi EPL msimu huu.

Tuache maneno mengi, data ziongee tazama msimamo wa EPL.

View attachment 2183428

Haya sasa hao ma staa wako hawachezi Ligi hii?

Duuh ila haya mambo acheni tu leo hii Chugga anavizia kuingia humu mpaka kwanza apate matokeo. .. Ligi inaanza alikua hakauiki humu kusema bingwa ni yeye tu.

Haya wewe koma na ma staa wako sie na hawa wa kwetu tuna Carabao ambao ma staa wako hawakucheza

YNWA
Wapo wanatufukuzia point 11 ambazo hata wangetenguka viuno hawatupati
 
Ubingwa tumeshapoteza kwa matokeo ya mechi hii ya leo maana ndio ilikuwa inaamua nani bingwa EPL 2022 though maneno yangu yanaweza kukosolewa na mwenendo mechi saba zilizobakia kwa Manchester City
Usiwe mwepesi wa kukata tamaa unaweza kushangaa hata chelsea aka hukua ubingwa
 
Hii mechi Ilitakiwa mshinde sasa ubingwa city waachie wenyewe, uko mikononi mwao
 
Japo si mshabiki wa hizi timu mbili ila hii game mkuu ilikuwa muhimu kwa pande zote mbili ilikuwa either Man City akufunge aongeze gape la point 4 au umtoe pale juu na of course kutoka draw ni ushindi kwa pande zote mbili.
Sare ni mbaya kwetu kuliko wao.

Klopp kachemka jana au vijana hawakufuati alichosema.

YNWA
 
Ubingwa tumeshapoteza kwa matokeo ya mechi hii ya leo maana ndio ilikuwa inaamua nani bingwa EPL 2022 though maneno yangu yanaweza kukosolewa na mwenendo mechi saba zilizobakia kwa Manchester City
Aisee mbona unakata tamaa kama mashabiki wa Mwanitesa na Arse8. Position tuliyopo matumaini bado ni makubwa 7 games sio chache 21 points still to fight for. Tungefungwa jana hata mimi ningekubali ubingwa baasi

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom