Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kwetu Liverpool tunasema "NEVER SAY DIE"....Its not over till it is overm. Mashabiki wa mancity hawanaga akiba ya maneno.. wengi waliamini watatufunga liverpool... Ila wajue mungu yupo upande wetu na sio upande wa hao wauza mafuta wa uarabuni![]()
Ethad walisubiri jana waongoze EPL kwa pointi 4 too bad haikua hivyo pamoja na udhaifu wetu jana kushindwa kucheza mpira wetu tumetoka na pointi 1 ni jambo njema sana.
Jumamosi Wembley tarehe 16/4/22 tunapata tena nafasi ya kutafuta kuingia FA fainali dhidi ya Manchester City naamini pale Klopp atafunguka vyema kusaka ushindi na hamna cha kupoteza ni aidha ushindi ama tupo nje ya FA.
YNWA

