Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Kwanza huyu shabiki wa man city kaibukia wapi?Aisee jana mpo nyumbani na mmechemka.
Kua na maneno ya akiba hakuna timu kwenye nusu fainali inapeleka timu kuchapwa hua ni kujituma kama kote.
Sitegemei mpate wepesi kama jana.
YNWA



