Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee jana mpo nyumbani na mmechemka.

Kua na maneno ya akiba hakuna timu kwenye nusu fainali inapeleka timu kuchapwa hua ni kujituma kama kote.

Sitegemei mpate wepesi kama jana.

YNWA
Kwanza huyu shabiki wa man city kaibukia wapi?
 
Screenshot_20220411_114955_com.android.chrome_edit_76502280465409.jpg

Na wengine humu wanasema ushindi wao haha Kipara anajua hawa Liverpool ni washidani haswa.

YNWA
 
Aisee mbona unakata tamaa kama mashabiki wa Mwanitesa na Arse8. Position tuliyopo matumaini bado ni makubwa 7 games sio chache 21 points still to fight for. Tungefungwa jana hata mimi ningekubali ubingwa baasi

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
2017/18 kulikuwa na mechi zaidi ya 15 lakini mlitofautiana point moja hadi mei na city kabeba kwa point 98 dhidi ya 97. Najua miaka haifanani ila tunajifunza kutokana na historia
 
Tena shabiki kindaki ndaki haswaaaaah,
Sasa ndio nini kumuacha Pain killer peke yake mpaka anazidiwa na baridi kali kwa kukosa sapoti ila hua akifika hapa jamvini anajisikia yupo nyumbani kabisa.

Kama jana yeye mapema hakutaka maneno alishatabiri gemu sare maua.

Karibu sana Liverpool FC (The Reds) Special Thread hapa Jamii Forums jisikie upo nyumbani kabisa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom