cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,308
Kwani leo tumelia? Au kwenu Kipara kashinda.
Leo kapata bahati kubwa sanaaa hatukua mchezoni kama wao na tumegawana pointi.
YNWA







hiyo J2 mtatafutana mbna, hii ndo city bhana. Ni kugawa kichapo tyuui.
