Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hebu mjipange kwa msimu ujao tyuuuh, huu mwaka sio wenu kabisaaa.

Na UCL hamna chenu, uwiiiiiiih
UCL ipi unazungumzia hii ambayo mguu mmoja tupo nusu fainali tunawasubiri Bayern ama wale vijana wa Unai?

Kwanza msimu huu wengi walisema hatupo kumpamba kombe lolote lakini waulize vijana wa Darajani pale Wembley kiliwapata nini huku Carabao ikitua Anfield.

Hii Liverpool nikushauri mapema tu ni kwamba uwe na maneno ya akiba. Maama its not over untill its over.

We believe.

YNWA
 
UCL ipi unazungumzia hii ambayo mguu mmoja tupo nusu fainali tunawasubiri Bayern ama wale vijana wa Unai?

Kwanza msimu huu wengi walisema hatupo kumpamba kombe lolote lakini waulize vijana wa Darajani pale Wembley kiliwapata nini huku Carabao ikitua Anfield.

Hii Liverpool nikushauri mapema tu ni kwamba uwe na maneno ya akiba. Maama its not over untill its over.

We believe.

YNWA
nimecheka mnoo hapa, eti nn?
City wakati huo yuko wapi na anafanya nn? Hao wa darajan ni level zako wee sio sisi.

Mwakaa huu mtafurahishwa mbna.
 
Screenshot_20220410_235914_com.android.chrome_edit_62525047843583.jpg


Nice picture.

YNWA
 
UCL ipi unazungumzia hii ambayo mguu mmoja tupo nusu fainali tunawasubiri Bayern ama wale vijana wa Unai?

Kwanza msimu huu wengi walisema hatupo kumpamba kombe lolote lakini waulize vijana wa Darajani pale Wembley kiliwapata nini huku Carabao ikitua Anfield.

Hii Liverpool nikushauri mapema tu ni kwamba uwe na maneno ya akiba. Maama its not over untill its over.

We believe.

YNWA
Its not over till it is overm. Mashabiki wa mancity hawanaga akiba ya maneno.. wengi waliamini watatufunga liverpool... Ila wajue mungu yupo upande wetu na sio upande wa hao wauza mafuta wa uarabuni
 
Mane na Mo walikuwa wamefunga na ndio ugumu ulianzia kwao, ukimuangalia Mo hakuwa yule wa siku zote hii ni kwa sababu hakuwa na nguvu za kupambana same to Mane , tofauti na City wachezaji wao wengi au wa muhimu hawakuwa kwenye mfungo ukitoa Mahrez, hili liliifanya timu yetu kupotea.

Ramadan ilikuwa ni sababu pia???? 🤔
 
Jasho limelokutoka Leo ,najua linaweza kujaza pipa

Tulia tuwafundushe mpira kijana...

Ku win CL hata sio lengo letu ....sisi ni kuwatesa nyie tuu
Na kweli mmetutesa maana kupata sare na liver ni zaidi ya kupiga picha na rais
 
Mane na Mo walikuwa wamefunga na ndio ugumu ulianzia kwao, ukimuangalia Mo hakuwa yule wa siku zote hii ni kwa sababu hakuwa na nguvu za kupambana same to Mane , tofauti na City wachezaji wao wengi au wa muhimu hawakuwa kwenye mfungo ukitoa Mahrez, hili liliifanya timu yetu kupotea.

Ramadan ilikuwa ni sababu pia????
Mmeshaanza kusingizia ramadhan benifica mmemfungaje Sasa au man city kumfunga mpaka mtoke kwenye mfungo
 
Its not over till it is overm. Mashabiki wa mancity hawanaga akiba ya maneno.. wengi waliamini watatufunga liverpool... Ila wajue mungu yupo upande wetu na sio upande wa hao wauza mafuta wa uarabuni
We ulikua unaamini nini kabla ya game?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom