cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Kwani ukikubali utapungukiwa nn cc?Wewe mwenzetu ushapanga matokeo yako,uko mbele za muda!



Si ukubali tyuuuh, na UCL mnakosa pia. Hahahah.
Kwani ukikubali utapungukiwa nn cc?Wewe mwenzetu ushapanga matokeo yako,uko mbele za muda!



Hebu mjipange kwa msimu ujao tyuuuh, huu mwaka sio wenu kabisaaa.Manchester City akipigika na El Cholo atayumba sana maana defeat hua inawaadhiri sana hawa jamaa ila wakishinda mbona tutafutana FA itakua cracker utadhani ndio Fainali kumbe nusu fainali.
Ili angalau Manchester City alegee tunahitaji kwanza El Choro amchape pale Wanda Metropolitano na tunajua sio kazi rahisi lakini akipigika ataanza kupungua morali maana defeat destroys team n individual players... Tukikutana Wembley nao malaika wa ushindi waegemee kwetu hapo atabaki na EPL tu na itakua amewalegeza balaa.
Kwa sasa ramli hazikwepeki kwa Kipara achapike.
YNWA







Bora wee useme ukweli na uwaambie wenzio waelewe.Ubingwa tumeshapoteza kwa matokeo ya mechi hii ya leo maana ndio ilikuwa inaamua nani bingwa EPL 2022 though maneno yangu yanaweza kukosolewa na mwenendo mechi saba zilizobakia kwa Manchester City





Ilikuwaje tukatoa Sare zote hizi
Ila siyo Mbaya..city anaenda kutoa Sare zoote.





nimecheka km chizi hapa. 




Huyu kipara hachomoi kwa wolves huyu
Sisi zilizobaki tunashinda na ubingwa tunabeba.









hahahahNipo na Karim hapa anakusalimia Sana
Lakn sio benzema usiogope







Kazi imeyokushinda wewe unaenda kumpa simeon ambaye katoka kuchapika na Mallorca team ambayo inashika nafasi ya 10 huko ....then imfunge man city .....!Manchester City akipigika na El Cholo atayumba sana maana defeat hua inawaadhiri sana hawa jamaa ila wakishinda mbona tutafutana FA itakua cracker utadhani ndio Fainali kumbe nusu fainali.
Ili angalau Manchester City alegee tunahitaji kwanza El Choro amchape pale Wanda Metropolitano na tunajua sio kazi rahisi lakini akipigika ataanza kupungua morali maana defeat destroys team n individual players... Tukikutana Wembley nao malaika wa ushindi waegemee kwetu hapo atabaki na EPL tu na itakua amewalegeza balaa.
Kwa sasa ramli hazikwepeki kwa Kipara achapike.
YNWA






Huyu takataka man shitye anifunge mimi? Ngoja jumamosi akupasue pale Wembley alafu nikutane naye final fa ..ndio ujue sisi ni Chelsea na hatutanii ..
#CFC![]()






hivi wee nguvu ya kuongelea City unatoa wapi? Wakati huu uzi wote wakisikia city wanainuka na kusalimu khaaaah. 



RamliKwani ukikubali utapungukiwa nn cc?
Si ukubali tyuuuh, na UCL mnakosa pia. Hahahah.
Wewe mwenzetu ushapanga matokeo yako,uko mbele za muda!
I can’t wait to beat the shytes in uclKazi imeyokushinda wewe unaenda kumpa simeon ambaye katoka kuchapika na Mallorca team ambayo inashika nafasi ya 10 huko ....then imfunge man city .....!
Hakuna sijui uefa Wala nin atletico anaenda kutolewa mapema kabisa na ule mpira wake wa kudefend watu 10 kwenye box![]()
Nilikuwa najificha mpira ukifika golini kwetu.
Kuna muda nikachungulia nikamuona matip wangu anaokoa kwa kutoa nje
Leo hata ningekuwa mimi ningesinzia aisee
Siyo kwa kupigwa dakika ya 5










Umeona hujakimbia angalau hujazimia na umeona burudani.
Sasa FA Jumapili tunakwenda kuwachapa kama wale vijana wa Darajani.
Leo kwenyewe walitubania mashabiki wawe kiduchu Ethad lakini Wembley kitaeleweka tu japo tunahitaji Klopp awaambie vijana waamshe tangu dakika ya kwanza sio kama leo walisinzia kazini
YNWA








wallah mnachekesha mnoo nyie livakuku, muifunge city kwa kipi hasa? Hiyo J2 mtalia na kusaga meno.Jasho limelokutoka Leo ,najua linaweza kujaza pipaI can’t wait to beat the shytes in ucl
They will never win it
Kama wameshindwa kutufunga leo basi ni wachovu






Kiujumla nimefurahi sana kwa matokeo ya leo hii.
Nadhani kwa jinsi Man City walivyokuwa wa moto tangu kipindi cha kwanza, ni sawa na Liverpool kashinda
Ngoja nizidishe sala kwa mechi 7 zilizobakia labda Man City ataweza kupoteza na Liverpool ikakaa kileleni hadi kuchukua ubingwa.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app








kwani sisi wa mashabiki wa City hatujuo kuomba eeeeh? Mnalo hili mwakaa huu.Hata mimi nimefurahi ila first half mke wangu alikuwa akinisemesha nimenuna tu macho yote kwenye tv![]()





mtakuja kufa na pressure, city weka mbali na watoto.Kwani leo tumelia? Au kwenu Kipara kashinda.wallah mnachekesha mnoo nyie livakuku, muifunge city kwa kipi hasa? Hiyo J2 mtalia na kusaga meno.
Povuu,






Leo ulisema ni sare lakini baada ya kuona upo mchezoni kuliko sisi ukaibuka unashinda japo umeishia sare.Kazi imeyokushinda wewe unaenda kumpa simeon ambaye katoka kuchapika na Mallorca team ambayo inashika nafasi ya 10 huko ....then imfunge man city .....!
Hakuna sijui uefa Wala nin atletico anaenda kutolewa mapema kabisa na ule mpira wake wa kudefend watu 10 kwenye box![]()
Hii game mashabiki wote wa Liverpool vibanda umiza walikuwa wanahema kama wamebanwa na mrango
Walikuwa wanatetemeka hatari .....![]()






leo mashabiki wa livakuku walilowa km kuku wa kideli.