Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Lakini uliona kocha wako alivyo mkumbatia Klopp kwa nguvu? Alijua kabisa Klopp sio wa mchezo mchezo maana alijua kabisa ile game kushinda ni kazi.
ni fair play, mbna wote wanajuana ni wakali ktk soka, kushow love na respect ni must. Afu pale sisi ni wenyeji ko lazima tuwakarimu wageni wetu. Wajione wako kwao. Hahahah
 
Kwahiyo unashangilia sareHawa mashabik mamluki wa shit NI TATIZO ZAIDI YA BEI YA MAFUTA..
Kwanza hawaujui mprira hawa wao niwashangiliaji tu, kwanza ukimpigia sim haraka haraka huyu akutajie wachezaji wa Man city hajui ataanza kukuambia Lukaku, Ronaldo na Messi , haya ukimuuliza jana man city alicheza mfumo gani? Hajui huyu. Huyu ni kama OllaChuga Oc Ambaye haifatilii tim yake eti anaangalia Livescore mamluki ni wengi sana. Haya mambo ya babu alikuwa anashabikia City au Chelsea ndio yanayo wakuta hawa vijana
 
Jumapili piga hizi kuku maana zimezidi ngebe zinajiona zenyewe basi ndio timu Bora kumbe ni upepo TU umewatembelea..halafu tukutane Wembley nikukule
#CFC
mtaliwa wote wee na hawa wenzio. Hatuwaachi mwaka huu.
 
Anilize huyu Manchester City oiled by Mansour billions no way and yet you guys can't win UCL that the big boys league.

Haya Jumamosi Klopp kashasema atajihidi kuja kivingine maana jana haiku siku powa kibaruani kwetu.

YNWA
kwan guardiola atakuja vile vile? Si atakuja kivingine naye? Nyie kipigo kiko pale pale. Hilo hali epukiki mbna.
 
Mane na Mo walikuwa wamefunga na ndio ugumu ulianzia kwao, ukimuangalia Mo hakuwa yule wa siku zote hii ni kwa sababu hakuwa na nguvu za kupambana same to Mane , tofauti na City wachezaji wao wengi au wa muhimu hawakuwa kwenye mfungo ukitoa Mahrez, hili liliifanya timu yetu kupotea.

Ramadan ilikuwa ni sababu pia????
ko swaumu ya jana kali eeeeh? Nyie livakuku mistake kuchekesha watu hapa jamvini khaaah.
 
Kwanza hawaujui mprira hawa wao niwashangiliaji tu, kwanza ukimpigia sim haraka haraka huyu akutajie wachezaji wa Man city hajui ataanza kukuambia Lukaku, Ronaldo na Messi , haya ukimuuliza jana man city alicheza mfumo gani? Hajui huyu. Huyu ni kama OllaChuga Oc Ambaye haifatilii tim yake eti anaangalia Livescore mamluki ni wengi sana. Haya mambo ya babu alikuwa anashabikia City au Chelsea ndio yanayo wakuta hawa vijana
nimecheka sana tena mnooo, ko sare ya jana ndo imewafanya muwe hivyo? Je mngenyukwa?
 
Unajipitisha pitisha na kanga moko kwa wanaume? Tutakukula tunda kimasihara sisi.
Sasa unatoka nje ya mada vipi tena, kwan huwezi kuongelea masuala ya mpira bila kuhusisha hivyo?

Hapa tunazungumzia mpira, wee mwenyewe shabiki wa mhemko tyuuh,
 
Jana tulizidiwa hasa kipindi cha kwanza. Anyway bado sijakata matumaini

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Jana Fabinho hakua mchezoni sijajua lile jeraha la Lisbon hajapona kabisa ama niaje maana umakini wake jana sio kiwango chake kwenye gemu kama ile.

Nina amani na sare.

Sasa Jumatano hii tumalize kazi na Benfica.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom