cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,301
Lakini uliona kocha wako alivyo mkumbatia Klopp kwa nguvu?Alijua kabisa Klopp sio wa mchezo mchezo maana alijua kabisa ile game kushinda ni kazi.





ni fair play, mbna wote wanajuana ni wakali ktk soka, kushow love na respect ni must. Afu pale sisi ni wenyeji ko lazima tuwakarimu wageni wetu. Wajione wako kwao. Hahahah

