Kwakweli wamempania ili kumdhibiti.Wamemkaba sana
Wala siyo kosa Lake.
Kama nyuma hawatafuti mpira;atatoa wapi mpira wa kwenda kufunga?
Arteta alisha kojozwa huko na Brighton mkuuNi Arteta
Wewe si una match na huyo huyo wolves kwani hawezi kukugongaCity atapoteza dhidi ya wolves
Tutachukua sisi.
















Tunamfunga.Wewe si una match na huyo huyo wolves kwani hawezi kukugonga![]()
Mkuu nikutumie Dicloper?Man utd anakuja kufufukia kwenu najua ndio next game epl
Keep watching
Afufuke au sisi ndo tunamzika mazima?Man utd anakuja kufufukia kwenu najua ndio next game epl
Keep watching
Nyie lazima mtatulia tuTunamfunga.
Nyie mtapoza na washing tutakuwa sisi


















Mlistahili wapi mshashindwa hivyo.Nyie lazima mtatulia tu
Una game na
Man utd (hii haijalishi united yupo vibaya kiasi gani lakin hapa atawaamkia vzuri )
Spurs ( konte lazima awanyonyoe ndevu kwa kutumia shoka )
Wolves ( Hawa mbwa mwitu hawataacha salama )
Mshukuru Sana var ....hii game tulistaili point 3 kabisa .....
Tukutane FA .......itafahamika tu![]()
Tumehema tu 1st halfHii game mashabiki wote wa Liverpool vibanda umiza walikuwa wanahema kama wamebanwa na mrango
Walikuwa wanatetemeka hatari .....![]()
Luga gani tena hii mdau?



Leo VVD alikuwepo hivi?!Staili ya high line na offside trap sizikubali kabisa, Zinasababisha watu kukutana uso kwa uso na Allison, kingine ni kina VVD kukabia macho, inaboa sana










Droo sio mbaya ila sio rafiki kwenu