Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Dah! Tumefungwa tenaAcha kabisa,
Roho juu juu, nmemguard city![]()
Dah! Tumefungwa tenaAcha kabisa,
Roho juu juu, nmemguard city![]()
Kabisa mkuuNo matter what, kuishabikia Liverpool yalikuwa ni maamuzi bora kabisa kwenye maisha yangu.
Usiseme game sema fainali.Asee Gemu leo tait sana hii














Alafu wanaume tukiwa tunapambana wanawake hawapaswi kuingilia kati.Leo mnapakatwa subiri uone.
J4 tunaenda kupindua meza.
Shinda hapo.,

Droo sio mbaya ila sio rafiki kwenu


sasa wewe unagombania kombe lipi?.Tukitoa sare hii game Ubingwa EPL msimu huu unaenda Etihad
City atapoteza dhidi ya wolvesTukitoa sare hii game Ubingwa EPL msimu huu unaenda Etihad
Wamemkaba sanaHivi tuseme huyu Salah anawaza mkataba au wanamkaba sana? Maana kiwango anacho kionesha sasa sio kile tulichokuwa tukikiona.