Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Kwani Kwenye msimamo wa League mpo nafasi ya ngapi?Intermilan amewaexpose amefanya VVD aonekane kama Magwaya. Ni suala la muda tu
Shabiki wa kweli huwa anakubali kushindwa sio wewe unaongea bila hoja ya maana, vip kwani kombe mlipewa au kilitokea nini?Goal 3 zilizokataliwa chache?
Hizo mbili tumeziacha.... Hiyo moja hiyo?
Soka limekuwa la kiduwanzi yani liverkuku na matimu mengine yanafurahi mutadhani tutayumba.?!
Hapana tutakuwa bora zaidi.
Ni wale Warusi wana kiburi moja matata sanaa yaaani.Roman ndie kashikilia mpira hapa , either akubal tim iuzwe na gvt, huku asipate chochote au akatae.
Hopeful ndan ya wiki z hiv karibun tutapata majibu,
Hapo ndio shida inapoanzia, maana hata akisema aende mahakaman stil hali haitokuwa sawa n hukumu sio ya siku moja.Ni wale Warusi wana kiburi moja matata sanaa yaaani.
Inahitajika aweke maslahi ya klabu mbele ili muwe salama.
YNWA
View attachment 2146100
View attachment 2146101
Haya mambo sasa yanaelekea pambaya.
Rasmi sasa mdhamini wa jezi kashasitisha mkataba kuanzia sasa jezi zisiwe na ile logo ya 3 mobile.. na huu mpunga mrefu sana kwa mwaka ulikua unawaingizia kiasi cha £40m.
Upande wa pili wa hili ni kwamba wadhamini wakiedelea kujitoa inampa presha Roman atakua hana namna zaidi ya kuwapa serikali Uongozi wa timu ama akumbali watakavyotaka wao walioshika mpini.
YNWA
HahahahaaaaaaSoka limekuwa la kiduwanzi yani liverkuku na matimu mengine yanafurahi mutadhani tutayumba.?!
Hapana tutakuwa bora zaidi.
Nike watabeba nguo zaoBado Hyundai na NIKE kung'oka kwenye hilo Gauni lao.
Hyundai wameshaanza mchakato kujitoa kwa muda.Bado Hyundai na NIKE kung'oka kwenye hilo Gauni lao.
Leseni mliopewa inaisha 31/5/22.Hapo ndio shida inapoanzia, maana hata akisema aende mahakaman stil hali haitokuwa sawa n hukumu sio ya siku moja.
Ngoja tusubir vikao vitakavyokuwa vinafanyika
Wataanza kuingia uwanjani na madela yaakina zuchu na Hadija kopaNike watabeba nguo zao
Tutarudi vunjabei

