42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Kuombwa msamaha?Everton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.
Sasa nyie kama mnaona mlionewa mlishindwa nini kuomba clarification na ni haki yenu kabisa na Uongozi wa ma refa UK ungewajibu.
Whining won't bring back Carabao au kuwapa ubingwa wa EPL. Nyie pambaneni UCL, FA mengine mjipange msimu ujao.
YNWA
Huo wehu hatutaki kuusikia.


