Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Everton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.

Sasa nyie kama mnaona mlionewa mlishindwa nini kuomba clarification na ni haki yenu kabisa na Uongozi wa ma refa UK ungewajibu.

Whining won't bring back Carabao au kuwapa ubingwa wa EPL. Nyie pambaneni UCL, FA mengine mjipange msimu ujao.

YNWA
Kuombwa msamaha?

Huo wehu hatutaki kuusikia.
 
Everton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.

Sasa nyie kama mnaona mlionewa mlishindwa nini kuomba clarification na ni haki yenu kabisa na Uongozi wa ma refa UK ungewajibu.

Whining won't bring back Carabao au kuwapa ubingwa wa EPL. Nyie pambaneni UCL, FA mengine mjipange msimu ujao.

YNWA
Wamlaumu yule Kepa aliyewapaishia mpira mawinguni
 
Wamlaumu yule Kepa aliyewapaishia mpira mawinguni
Wanamvyomtetea sijui kawapa makombe gani hukooo...

Watajiju.

Vijana wetu wamenyanyua kwapa Wembley hahaha ilikua tamuuu sana.

Its always sweet kuwachapa Chelsea haha tena upande ule ule waliokaa mashabiki wa Liverpool huku wakipiga shabgwe sana.

Worst sub for the season itakua ile ya Mendy Carabao 😂😂😂😂

YNWA
 
Mi nilikaona kanavyoviringa Mpira kwenye jezi huku wamekazingira pembeni
Nikasema hapa hamna kitu
Watu wa Mbeya tunasema "No mbombo"
😂😂😂😂😂😂😂Sijui kwa nini haukutua Mbeya haha ungepiga ela ndefu maana huo mpira unasakwa utauzwa kwa mnada ujue 😂😂😂...

Kalijitia lesi kama boxer mpya kumbe kanaeda kuuza picha

YNWA
 
Wanamvyomtetea sijui kawapa makombe gani hukooo...

Watajiju.

Vijana wetu wamenyanyua kwapa Wembley hahaha ilikua tamuuu sana.

Its always sweet kuwachapa Chelsea haha tena upande ule ule waliokaa mashabiki wa Liverpool huku wakipiga shabgwe sana.

Worst sub for the season itakua ile ya Mendy Carabao

YNWA
Jamaa fundi sana wa kupaisha
Ana kengeza la mguu aisee..ile penati hata ningepiga mimi nisingeipeleka kule .

Itakuwa nao wamekuwa nyumbu aisee,
Wanamteteaje mtu amepiga mpira Hadi umekuja kutua kigoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom