Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Wakae Kwa kutulia kabisaKwenye mpira alievuka kwenda hatua ya pili ndio mshindi hayo sijui tumekoswakoswa hayana maana yashapita, mpambane sasa tukutane nusu au robo au faino.
Tumeshakumalizeni Carabao hilo halifutiki mpaka Carabao mpya msimu ujao. Mkae mtulieeeeee tuliiiii.
YNWA
Hawaamini walivyopaisha angani ule Mpira.


