Leseni mliopewa inaisha 31/5/22.
Ni mtihani sana huruhusiwi hata kutoa nyongeza ya mikataba kwa mchezaji yeyote labda uwe mlishakumbaliana kabla ya tamko la Waziri Mkuu.
Duka la Chelsea la kuuza vifaa limeshafungwo.
Mtihani uliopo Mrusi ana miliki Chelsea asilimia 100 peke yake ndio maana unajiuliza jamaa atakumbali vipi hii hasara klabu itaifishwe ama aje akikataa ina maana kuanzia tarehe 1/6/22 Chelsea itashindwa kujiedesha tena.
Ila kimbaya ni hawa wahisani kama 3 Mobile, Hyundai nk kusitisha mikataba yao na Chelsea, hii ni pigo kubwa sana.
Taarifa za serikali UK ni kwamba wana ushahidi Putin na Roman wana urafiki wa ki uchumi na ushahidi upo ndio maana serikali ya Malkia wamekomaa na kumtaifisha chap.
Ngoma bado mbichi.
YNWA