Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumbe ndio maana wanalialia humu
Bhana niliwaambia wakati hii vita inaanza wa kasema haiwezekani Chelsea ni zaidi ya Malikia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Sasa Johnson kashamaliza haya maneno hakuna tena kuuzwa timu hapa.

Watulie uzi wao walie huko huko sijui watasema goli la mkono kapiga Johnson 😂😂😂😂😂😂😂😂....

Mrusi kwishinie pamoja na ahadi nusu ya mpunga angeupeleka Ukraine kusaidia waadhirika wa vita lakini ndio bye bye sasa.

Ukiachana na kununua wachezaji kwingine wako vizuri kibiashara sitegemei kuona wakikwama.

Sana sana ule uwanja sasa hawahami tenaaaa mpaka karne ya ngapi hukooooo😂😂😂😂😂😂😂

Walishapulia Carabao haha sasa wamepigwa noki out kali sanaaa.

YNWA
 
Bhana niliwaambia wakati hii vita inaanza wa kasema haiwezekani Chelsea ni zaidi ya Malikia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Sasa Johnson kashamaliza haya maneno hakuna tena kuuzwa timu hapa.

Watulie uzi wao walie huko huko sijui watasema goli la mkono kapiga Johnson 😂😂😂😂😂😂😂😂....

Mrusi kwishinie pamoja na ahadi nusu ya mpunga angeupeleka Ukraine kusaidia waadhirika wa vita lakini ndio bye bye sasa.

Ukiachana na kununua wachezaji kwingine wako vizuri kibiashara sitegemei kuona wakikwama.

Sana sana ule uwanja sasa hawahami tenaaaa mpaka karne ya ngapi hukooooo😂😂😂😂😂😂😂

Walishapulia Carabao haha sasa wamepigwa noki out kali sanaaa.

YNWA
Wanaombea vita iishe
 
Wanaombea vita iishe
😂😂😂😂😂😂😂Sijui ule mjengo wa Roman pale UK apewe tu Klopp kwa heshima ya mchango wake pale Uingereza.

Vita ni vita mura.

Jana tu ana meli yake ya kifahali kaikimbiza fasta kutoka Uhispania sijui kaeda kuificha wapi.

Ile meli angepewa tu mfungaji bora wa EPL msimu huu 😂😂😂😂Mo Salah huyoooooooo.

Hawa jamaa wanachekesha walimsajili kibegi kwa mahela mengi aafu mpaka anagoli 11 mashindano yote na wapo hapa kulialia tu na Majogoo kwani walilazimishwa kumnunua 😂😂😂😂.

Kwa Heshima ya Waziri Mkuu wa Waingereza Daraja rasmi limetobokaaaa😂😂😂😂

YNWA
 
Yaani sasa hivi watafuatilia vita kuliko soka
Kama walikua mazoezini nina uhakika yamesitishwa mpaka pale wataambiwa 😂😂😂😂😂😂....

Hii timu ikashiriki Championship tu maana Mrusi hayupo tena itabid sasa waanze kuuza wachezaji kupata ela ya usajili mpya.

Klopp awai kwa Ustadhi Rudiger anatufaa dogo ni fighter sana.

YNWA
 
Screenshot_20220310_130353.jpg


Tazameni ma straika wa majogoo wa ela ya madafu wanavyofumania nyavu.

Klopp na Edwards hakika ni ma genius.

YNWA
 
Bhana niliwaambia wakati hii vita inaanza wa kasema haiwezekani Chelsea ni zaidi ya Malikia

Sasa Johnson kashamaliza haya maneno hakuna tena kuuzwa timu hapa.

Watulie uzi wao walie huko huko sijui watasema goli la mkono kapiga Johnson ....

Mrusi kwishinie pamoja na ahadi nusu ya mpunga angeupeleka Ukraine kusaidia waadhirika wa vita lakini ndio bye bye sasa.

Ukiachana na kununua wachezaji kwingine wako vizuri kibiashara sitegemei kuona wakikwama.

Sana sana ule uwanja sasa hawahami tenaaaa mpaka karne ya ngapi hukooooo

Walishapulia Carabao haha sasa wamepigwa noki out kali sanaaa.

YNWA
Wanatia huruma
 
Itakuwa kaliona wanashangilia mno..
Kakasema ngoja niucharange mpira hadi upasue nyavu uwapige usoni hawa mabwege.
Hivi ule mpira si ulitoka nje ya jukwaa la uwanja
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈🙈🙈🙈Hahahahaha kale unafahamu walikanunua zaidi ya £70m🤪🤪🤪🤪🤪🤪

Juni 2022 ndio wa kwanza kusepa huyu.

YNWA
 
IMG-20220310-WA0003.jpg

IMG-20220310-WA0002.jpg



Tuelewane mpaka sasa mauzo ya tiketi ni kwa wale wenye mkataba wa msimu mzima, haziuziki tena kwa wengine 😳😳😳😳, kununua kuuza wachezaji ndio basiiiii tenaaaaaaa.

Hii timu itatangaza mufilisi siku si nyingi yaaani wameminywaaa.

Bila tiketi sasa revenue wapate wapi.

Tetesi ni kwamba Putin hakua na mpango wa kuishia Ukraine hivyo Malkia kaamua kumpa za uso kivingine.

Mkumbuke sasa rasmi Chelsea na Everton wanaingia kwenye ukata mkali sana.

Shikamoo FSG msituuze kwa kweli mbakie hapa hapa 😂😂😂😂😂maana mambo sio mambo

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom