Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Imajini Kepa aliewagharimu mammilioni vs Kelleher ambae nadhani tulimpata bureeeeeee na Kelleher akanyanyua kwapaaaa.

Haya sasa hatutaki kelele sisi wakapambane na Malkia sasa.

YNWA
Kosi la dunia
image-edit-20220310134709.jpg
 
View attachment 2145473

Mashabiki wa Chelsea ndio maana wana mnajitoa machungu kwenye jukwaa pendwa la Majogoo.

Ni rasmi sasa Chelsea ni mali ya Malikia.

OllaChuga Oc
Ryana
42774277
Hziyech22

Habari mpya ndio hiiiii.

YNWA
Captain Marvelous Tukiacha ushabiki waingereza ni wapumbavu kuzuia kuongeza mikataba wachezaji pamoja na kusajili wachezaji kunahusiana vipi na vita ya ukraine na urusi Fifa walisema Serikali haitakiwi kuingilia michezo mbona hapa inakuaje? Nadhani wanachuki na wivu dhidi ya Chelsea so walitutafutia engo itawafanya watusulubu but Huu upepo utapita.
#chelsea4ever
 
Captain Marvelous Tukiacha ushabiki waingereza ni wapumbavu kuzuia kuongeza mikataba wachezaji pamoja na kusajili wachezaji kunahusiana vipi na vita ya ukraine na urusi Fifa walisema Serikali haitakiwi kuingilia michezo mbona hapa inakuaje? Nadhani wanachuki na wivu dhidi ya Chelsea so walitutafutia engo itawafanya watusulubu but Huu upepo utapita.
#chelsea4ever
Jokes aside

Waingereza wamekosea sana
 
Captain Marvelous Tukiacha ushabiki waingereza ni wapumbavu kuzuia kuongeza mikataba wachezaji pamoja na kusajili wachezaji kunahusiana vipi na vita ya ukraine na urusi Fifa walisema Serikali haitakiwi kuingilia michezo mbona hapa inakuaje? Nadhani wanachuki na wivu dhidi ya Chelsea so walitutafutia engo itawafanya watusulubu but Huu upepo utapita.
#chelsea4ever
Jahazi ndio limezama, sasa hivi ni zama za Newcastle. Tena wanaweza kujipatia wachezaji wa darajani kwa bei ya mafungu... bye bye Chelski😆
ezgif-1-4c45aa721f.gif
 
Imajini Kepa aliewagharimu mammilioni vs Kelleher ambae nadhani tulimpata bureeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂na Kelleher akanyanyua kwapaaaa.

Haya sasa hatutaki kelele sisi wakapambane na Malkia sasa.

YNWA
Mbona hata kepa kanyanyua kwapa kachukua UEFA, Europa, Supercup na kombe la club ya dunia
 
Captain Marvelous Tukiacha ushabiki waingereza ni wapumbavu kuzuia kuongeza mikataba wachezaji pamoja na kusajili wachezaji kunahusiana vipi na vita ya ukraine na urusi Fifa walisema Serikali haitakiwi kuingilia michezo mbona hapa inakuaje? Nadhani wanachuki na wivu dhidi ya Chelsea so walitutafutia engo itawafanya watusulubu but Huu upepo utapita.
#chelsea4ever

Mnang’ang’ania nini huko njooni Liverpool huku.
 
Subiri tukutane tena. Mtamjua vizuri Tucheliban

Nyinyi jamaa muna shida sehemu ambayo musipoitafutia ufumbuzi inaweza ikawaletea shida kubwa sana.

Imagine nimekutana na Rent boy ananiambia Liverpool haina uwezo wa kumfunga Chelsea ndiyomana kwenye mechi 3 za mwisho tulizokutana zote tumetoa sare!

Na hizi ndiyo akili za Madogo wote wa Chelsea kwamba ukitoa nao Draw huna uwezo wa kuwafunga! Sasa najiuliza wao kwenye hiyo Draw hawahusiki? Au ukitoa draw na Chelsea yeye kwake ni ushindi ndiyomana anahesabu Mpinzani wake tu ndiyo hana uwezo wa kumfunga Chelsea but Chelsea yeye kashinda?

Najua zamani Timu yenu ilikuwa kama Norwich tu, hebu kaangalie H2H kuanzia kipindi ilipoundwa Timu yenu 2005 mpaka 2022 ambapo Timu yenu inafikia mwisho wake.

Miongoni mwa inferiority complex ni kufurahia Mpinzani wako kupoteza, kujijengea ushindani kwa asiyekuwa Mshindani wako.
 
Captain Marvelous Tukiacha ushabiki waingereza ni wapumbavu kuzuia kuongeza mikataba wachezaji pamoja na kusajili wachezaji kunahusiana vipi na vita ya ukraine na urusi Fifa walisema Serikali haitakiwi kuingilia michezo mbona hapa inakuaje? Nadhani wanachuki na wivu dhidi ya Chelsea so walitutafutia engo itawafanya watusulubu but Huu upepo utapita.
#chelsea4ever

Aliyetaifishwa Mali zake ni Abramovic, Chelsea ni Mali ya Abramovic ndiyomana nayo imetaigmfishwa.
Usitake kusingizia kuchukiwa wakati Siyo Abramovic pekeyake aliyetafishwa Vitu vyake hata Usamanov katifishwa Mpaka Meli yake ya Kifahari.
Kutaifishwa hakuna kuchagua bali kila kilicho chake kinahusika kutaifishwa.
 
Aliyetaifishwa Mali zake ni Abramovic, Chelsea ni Mali ya Abramovic ndiyomana nayo imetaigmfishwa.
Usitake kusingizia kuchukiwa wakati Siyo Abramovic pekeyake aliyetafishwa Vitu vyake hata Usamanov katifishwa Mpaka Meli yake ya Kifahari.
Kutaifishwa hakuna kuchagua bali kila kilicho chake kinahusika kutaifishwa.
We jamaa una chuki na Chelsea sijui ilikufanyia nini kutokupewa ruhusa ya kusajili au kuongeza mikataba yetu pamoja mashabiki kutoweza kununua ticket zakucheki mechi wewe una ona sawa?
 
We jamaa una chuki na Chelsea sijui ilikufanyia nini kutokupewa ruhusa ya kusajili au kuongeza mikataba yetu pamoja mashabiki kutoweza kununua ticket zakucheki mechi wewe una ona sawa?

Mimi kitokuona sawa haibadilishi chochote kwenye kinachoendelea isipokuwa ninafurahia kila munapopata shida.
 
Mbona hata kepa kanyanyua kwapa kachukua UEFA, Europa, Supercup na kombe la club ya dunia
Nakusalimu kwa jina la Malkia mwenye timu yake Chelsea.

Hilo la Kepa ndugu ukweli unajulikana ukiachana na Carabao kwingine fainali amefanya vyema sana.

Tunasimama na Kepa anawafaa na fainali UCL aje huyo huyo.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom