Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nyie ndio hamna kabisaHamna uwezo wowote.
Kama ungekuwepo match ingeisha 90 minutes
Kwa sababu hata baada ya kuongeza dakika mlishindwa kutufunga na tukaibuka washindi.
Nyie ndio hamna kabisaHamna uwezo wowote.
Kama ungekuwepo match ingeisha 90 minutes
Wewe hawa watamtetea mpaka msimu mpya wa Carabao uanze msimu wa 2022 2023 hahaha inauma sana umesahau na wachezaji wao walivyoaibika kuwazima mdomo mashabiki wa Liverpool wakati wa penati hahaha kumbe sie wala hatuna noma tulikua tupo tayari.Jamaa fundi sana wa kupaisha
Ana kengeza la mguu aisee..ile penati hata ningepiga mimi nisingeipeleka kule .
Itakuwa nao wamekuwa nyumbu aisee,
Wanamteteaje mtu amepiga mpira Hadi umekuja kutua kigoma![]()
Si ndo refa wako wa mchongo akakutetea?Nyie ndio hamna kabisa
Kwa sababu hata baada ya kuongeza dakika mlishindwa kutufunga na tukaibuka washindi.
Hahahahaha yaaani dogo sijui aliwai cheza Rugby maana sio kwa shuti ile.Ungetua hapa green city ningeuokota Kwa bashasha sana maana ni maajabu haya Mpira wa penati unapigwa vile.
Kepa fundi sana![]()
Hahahahaha yaaani dogo sijui aliwai cheza Rugby maana sio kwa shuti ile.
Sidhani hata kama wale makipa wa Shaolin Soccer wangedaka.
YNWA












Kama mna uwezo basi mngefunga goli nyingi hadi tushindwe kutetewa.Si ndo refa wako wa mchongo akakutetea?
Ile match hata isingefika penati.
Goal 3 zilizokataliwa chache?Kama mna uwezo basi mngefunga goli nyingi hadi tushindwe kutetewa.
Nikaona hao wanabadilisha kipaWewe hawa watamtetea mpaka msimu mpya wa Carabao uanze msimu wa 2022 2023 hahaha inauma sana umesahau na wachezaji wao walivyoaibika kuwazima mdomo mashabiki wa Liverpool wakati wa penati hahaha kumbe sie wala hatuna noma tulikua tupo tayari.
Jota alimwalika rafiki Jaoa Felix Wembley ingekua dogo aodoke bila kuona majogoo wakipanda ngazi za Wembley kwenda kukabidgiwa mwali Hahaha.
Poleni Chelsea tugawane raha jamani nyie wa kimataifa zaidi ama vipi
YNWA



Zote ziliuwa na makosaGoal 3 zilizokataliwa chache?
Hizo mbili tumeziacha.... Hiyo moja hiyo?
mbili ndo zilikuwa na makosaZote ziliuwa na makosa
Zotembili ndo zilikuwa na makosa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ni kengeze la kimataifa lile.Nikaona hao wanabadilisha kipa
Mendy amepambana wee,wakaona apumzike...wakaingiza jamaa ana kengeza la mguu akafanya yake![]()
Chelsea ni katimu kadogo sana
Hapana wa kulifikiaNi kengeze la kimataifa lile.
YNWA








Torres



Kumbe ndio maana wanalialia humuView attachment 2145473
Mashabiki wa Chelsea ndio maana wana mnajitoa machungu kwenye jukwaa pendwa la Majogoo.
Ni rasmi sasa Chelsea ni mali ya Malikia.
OllaChuga Oc
Ryana
42774277
Hziyech22
Habari mpya ndio hiiiii.
YNWA
Au kalitaka kuwaumiza mashabiki wa Liverpool kaka sahau ndio penati ya mwisho maana khaa unapaisha aje vileeeee.Hapana wa kulifikia
Ile penati inachekesha nyie
Kalivyojishika kichwa sasa![]()
Sure naona tayari mmeshaanza kuimba huko wenzetuHao FSG ni bora hata Glazzers...
Soon mtaanza kuimba nyimbo kama za man u