Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Captain Marvelous Tukiacha ushabiki waingereza ni wapumbavu kuzuia kuongeza mikataba wachezaji pamoja na kusajili wachezaji kunahusiana vipi na vita ya ukraine na urusi Fifa walisema Serikali haitakiwi kuingilia michezo mbona hapa inakuaje? Nadhani wanachuki na wivu dhidi ya Chelsea so walitutafutia engo itawafanya watusulubu but Huu upepo utapita.
#chelsea4ever
Natarajia kuona Chelsea wakienda mahakamani kuomba clarification ya hili swala. Eti wamepewa Chelsea leseni ya muda yaaani hawa Waingereza hua wakati mwingine ni pasua kichwa sana. Ila ukiona wamewashukia hivi mazima itakua kuna sababu za kiintejelisia wamezipata kuhusu Roman na Putin maana huu mpango umekuja chap sana sio kawaida.

Binafsi kwa sababu ya ushindani wa EPL sio ombi langu mpotezwa kabisa. Japo huu ni upepo naamini mtakaa sawa.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Natarajia kuona Chelsea wakienda mahakamani kuomba clarification ya hili swala. Eti wamepewa Chelsea leseni ya muda yaaani hawa Waingereza hua wakati mwingine ni pasua kichwa sana. Ila ukiona wamewashukia hivi mazima itakua kuna sababu za kiintejelisia wamezipata kuhusu Roman na Putin maana huu mpango umekuja chap sana sio kawaida.

Binafsi kwa sababu ya ushindani wa EPL sio ombi langu mpotezwa kabisa. Japo huu ni upepo naamini mtakaa sawa.

YNWA
Njia pekee ni roman kukubal tim iuzwe na uk gvt, n tukiuzwa na serikal ya uk, tutaangukia kwenye mikono ya yankee or watoto wa malkia wenyewe.


Mahakaman sio gurantee n sio case ya siku moja.
 
Divock Origi kupata magoli huwa hategemei Counter attack licha ya pace aliyonayo

Origi anakufunga akipata mpira ndani ya 18 na anakipaji cha kupiga mashuti fulani hivi ya tofauti

Klopp kakosa kumuamini tu jamaa ila game kadhaa zilizopita Jota na wenzake wametuyeyusha sana licha ya kupata ushindi
 
Njia pekee ni roman kukubal tim iuzwe na uk gvt, n tukiuzwa na serikal ya uk, tutaangukia kwenye mikono ya yankee or watoto wa malkia wenyewe.


Mahakaman sio gurantee n sio case ya siku moja.
Kesho wana kikao cha pamoja kujadili namna ya kusonga mbele.

Njia pekee ni Uongozi wa Chelsea watoe mpango kwamba Roman hatafaidika na uuzaji wa Chelsea kwa namna yote ile. Mkiweza kudhibitisha hivyo basi mtapewa leseni ya kuuza timu yenu.

Jokes aside ni mstuko mkubwa kwa wapenda mpira wote.

YNWA
 
Divock Origi kupata magoli huwa hategemei Counter attack licha ya pace aliyonayo

Origi anakufunga akipata mpira ndani ya 18 na anakipaji cha kupiga mashuti fulani hivi ya tofauti

Klopp kakosa kumuamini tu jamaa ila game kadhaa zilizopita Jota na wenzake wametuyeyusha sana licha ya kupata ushindi
Kwa hio wa activate kipengele mkataba wake uishe 2023 June.

YNWA
 
Natarajia kuona Chelsea wakienda mahakamani kuomba clarification ya hili swala. Eti wamepewa Chelsea leseni ya muda yaaani hawa Waingereza hua wakati mwingine ni pasua kichwa sana. Ila ukiona wamewashukia hivi mazima itakua kuna sababu za kiintejelisia wamezipata kuhusu Roman na Putin maana huu mpango umekuja chap sana sio kawaida.

Binafsi kwa sababu ya ushindani wa EPL sio ombi langu mpotezwa kabisa. Japo huu ni upepo naamini mtakaa sawa.

YNWA
Asante mkuu
 
Asante mkuu
Uzuri sheria zipo Chelsea ina fall category ya mambo ya Cultural Affairs ambazo zinagusa maisha ya wengi na ya kijamii so utulivu ili kuwe na continuety Chelsea lazima kuwe na mpango na serikali inatoa ushirikiano kusiwe na kukwama muweze kumaliza ratiba ya ligi.

Waziri mwenye dhamana amesema kuwe na utulivu haya mambo wataweza kutoa maelekezo ya kina kadri watakavyofanya vikao na Uongozi wa Chelsea.

Pona yenu ni Roman asiwe mbishi akumbali timu iuzwe bila yeye kuingilia mchakato wote na kufaidika na hii ela.

Hofu yangu kama na yeye alishajiadaa kivingine ku survive hii scare na akapata haki zake sasa kukawa na sitofahamu.

All in all mtulie itajulikana ndugu yangu.

YNWA
 
Kesho wana kikao cha pamoja kujadili namna ya kusonga mbele.

Njia pekee ni Uongozi wa Chelsea watoe mpango kwamba Roman hatafaidika na uuzaji wa Chelsea kwa namna yote ile. Mkiweza kudhibitisha hivyo basi mtapewa leseni ya kuuza timu yenu.

Jokes aside ni mstuko mkubwa kwa wapenda mpira wote.

YNWA
Roman ndie kashikilia mpira hapa , either akubal tim iuzwe na gvt, huku asipate chochote au akatae.

Hopeful ndan ya wiki z hiv karibun tutapata majibu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom