Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mbona kama Salah safari imeshafika.

Between the lines ni mtihani sana.

Klopp kasema mamuuzi yapo kwa kambi ya Salah waamue wao akisema Liverpool wamejitahidi mpaka mwisho wao.

Ajabu sasa haya ndio majibu ya wakala wa Salah Rammy Abbas ni vi emoji vya kucheka khaaa

View attachment 2147259


Mpaka hapa wakuu naamini Salah aidha mkataba utaisha asepe zake ama atauzwa endapo akitokea mteja kufika ofa powa.

Kwa namna mambo yanavyokwenda itahitaji muujiza Salah kusaini mkataba mpya Liverpool.

YNWA

Nachokiona hapa tutachukua hayo makombe 4 msimu huu baada ya hapo timu inapangaranyika salah mane wote watasepa.

Tutaanza tena kutengeneza timu tuanze kumvumilia kocha. Na wachezaji wengine watafata.
 
Developing News.

Screenshot_20220311_210724_com.android.chrome_edit_232489841558274.jpg


Awe makini yasimkute ya Emre, Coutinho au Duncan

YNWA
 
Nachokiona hapa tutachukua hayo makombe 4 msimu huu baada ya hapo timu inapangaranyika salah mane wote watasepa.

Tutaanza tena kutengeneza timu tuanze kumvumilia kocha. Na wachezaji wengine watafata.
Ukishaona Klopp anasema wamefanya wawezavyo ujue haya mazungumzo yameshafikia mwisho, hata kwenye ishu ya Gini mazungumzo yalikua hivi hivi mwishowe huyoo akasepa zake bure.

Uzuri chini ya Klopp kuna mipango hivyo sina shaka kama Mo Salah akiamua ofa ya klabu sio sawa anasepa naamini Klopp ana plan B, tetesi ni kwamba wanarejea tena Ureno kwa Porto na kwa dogo Darwin Nunez pale Benfica na bei za kule sio komoa.

Usiwe na shaka kabisa kaka tupo katika mikono salama kabisa.

YNWA
 
| Mo Salah’s contract update

Exclusive: Mo Salah and his agent have no intention to accept current new contract bid from Liverpool

️ Mohamed’s priority is to stay at Liverpool but he has no intention to accept the current proposal on the table to extend the contract.

The last meeting with his agent Ramy Abbas was in December then talks have broken down, there’s been no further progress.

Let’s see the next move from Liverpool, if they want to improve their bid or face the risk to lose Mo Salah in the coming months/years.

Salah’s always been professional and this contract saga’s not affecting his performances but it’s up to Liverpool now.

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Salah loves the Premier League and his real priority’s always been to stay. His current deal runs out in June 2023 when he could leave Liverpool as free agent.

Should Liverpool do better to keep Salah?

#salah #mosalah #liverpool #football #transfers #lfc #liverpoolfc #egypt #herewego
 
Chelsea bank account has been temporarily suspended, this is getting out of hand. Putin might go to England anytime soon and there will be no more beautiful game to talk about
 
🙆🏿 🙆🏿 Mbona kama Salah safari imeshafika.

Between the lines ni mtihani sana.

Klopp kasema mamuuzi yapo kwa kambi ya Salah waamue wao akisema Liverpool wamejitahidi mpaka mwisho wao.

Ajabu sasa haya ndio majibu ya wakala wa Salah Rammy Abbas ni vi emoji vya kucheka khaaa

View attachment 2147259


Mpaka hapa wakuu naamini Salah aidha mkataba utaisha asepe zake ama atauzwa endapo akitokea mteja kufika ofa powa.

Kwa namna mambo yanavyokwenda itahitaji muujiza Salah kusaini mkataba mpya Liverpool.

YNWA
It is time for him to move on

But…. It’s a lose-lose situation
 
Nachokiona hapa tutachukua hayo makombe 4 msimu huu baada ya hapo timu inapangaranyika salah mane wote watasepa.

Tutaanza tena kutengeneza timu tuanze kumvumilia kocha. Na wachezaji wengine watafata.
Which makes sense

Wamefanya walichoweza na Umri umeshasogea sana
 
Ukishaona Klopp anasema wamefanya wawezavyo ujue haya mazungumzo yameshafikia mwisho, hata kwenye ishu ya Gini mazungumzo yalikua hivi hivi mwishowe huyoo akasepa zake bure.

Uzuri chini ya Klopp kuna mipango hivyo sina shaka kama Mo Salah akiamua ofa ya klabu sio sawa anasepa naamini Klopp ana plan B, tetesi ni kwamba wanarejea tena Ureno kwa Porto na kwa dogo Darwin Nunez pale Benfica na bei za kule sio komoa.

Usiwe na shaka kabisa kaka tupo katika mikono salama kabisa.

YNWA
Sure

Doubling Salah wages ni kuibua tatizo kubwa sana kwenye squad
 
Ni wale Warusi wana kiburi moja matata sanaa yaaani.

Inahitajika aweke maslahi ya klabu mbele ili muwe salama.

YNWA
Abramovic mbona kaweka maslahi mbele na ndio maana anataka kumpa mmiliki atakayekuwa na mipango mizuri yakuiwezesha chelseafc kuzidi kushine ndio maana waliwakatalia wale wa marekani wawekezaji kwa kuona miyeyusho watathamini fedha Zaidi.Abromovic anajua kabisa kama atawaachia Uk Government kuna uwezekano akapatikana muwekezaji asiye sahihi wa kuindesha chelseafc
 
mkuu sisi chelsea ni imara kuliko unavyodhani. Hili janga lingetua hapo kwenu liver basi hata klopp angeshawakata kitambo.
Umesahau adder and the chimps nearly got us relegated

ILA unaongea kinyonge sana… unanikumbusha story ya yule bouncer aliyeliwa kichakani na alipotoka akawa anasema “Kwa mbinde sana”

Put on a brave face son…. But it hurts na inabidi uzoee

Pesa ya sugar daddy imegeuka shubiri
 
Salah ondoka zako ,huwezi fanya kazi kubwa unazidiwa mshahara na Sancho ...waachie timu lao Liverpool ......football it's all about money ukiwazoea kwanza wewe ni mwafirika ukiflop wao Wana kudump hawatakuwa na huruma Sasa kama hawawezi kukulipa saizi na upo on fire achana nao nenda zako psg ,Madrid ,ukale pension

Achana na hii club bahili kama mpare wa milimaniii....

Kwanza ukija hata city tunakupa mshahara 400k per week kama KDB japo huwezi mfikia
 
Developing News.

View attachment 2147267

Awe makini yasimkute ya Emre, Coutinho au Duncan

YNWA
kwa staili ya uchezaji wa Liverpool mo awe makini sana na anakotaka kwenda ikiwa ataondoka maana anaweza angukia timu inayocheza system tofauti aka flop. Liverpool system suites mo.
juden aliitransform timu iwe inacheza mpira kwa kumacomodate mo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom