Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.

Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-

- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.

Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-

1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.

2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.

3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.

Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.

NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible
Liverpool ni bingwa aheshimiwe.ayo mengine ni useless porojo.sisi Liverpool tunaamini kua refa kawabeba Sana chelsea.full stop
 
Sababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.

Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-

- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.

Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-

1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.

2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.

3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.

Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.

NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible
Nahis kwa kovacic mpira ulimgonga tumbon even drurry alikubalian na maamuzi ya refa
 
Salah was off jana

He needs some resting
Bad day at the office its happens man.

If he can rest mpaka weekend atakua amerudisha makali but shout out to Rudiger no wonder he is on that high demand if Chelsea dont agree on a new deal he has many suitors i won't mind having him beside VVD hahaha.

YNWA
 
Screenshot_20220228_105115_com.android.chrome_edit_164502082272293.jpg

Hawa VAR ni binadamu jamani na ni msumeno unakata kote kote utashangaa siku inakupendelea na siku inakumaliza.

Kwa mfano Everton hapa wamenyimwa penati juzi lakini Everton hawa hawa kipa wao alimvuja VVD mguu jeraha la kumaliza kabisa career yake lakini hata kadi wala refa kwenda kutazama kwenye ki TV hakwenda matokeo yake wote mnajua vipigo tulivyopata kukosa VVD pale nyuma.

Mechi ya jana refa alijitahidi sana kwanza alikua neutral maana gemu ilikua na presha kali hata kadi hakutoa hivi hivi. Chelsea aidha mmeonewa au la that done jipangeni Mashindano bado yapo mnaweza kumbeba FA ama UCL.

YNWA
 
Hahaha Firmino na Mane wanalipilika ila sasa Mflame wetu Mo Salah ndio balaa mshahara anaotaka.
Naona sasa baada ya dogo Diaz kuonyesha uwezo sasa FSG wanakwenda mazima kwa Nunez Benfica huu ni ujumbe kwa Salah na kambi yake kwamba klabu inajipanga na maisha bila wao ma top performers pale mbele.

Pazuri kwa Salah au Mane wanaweza kumuuza PSG Salah tetesi ni kwamba Real Madrid wanawachukua kwa mpigo Mbappe na Haaland hivyo itakua ngumu kwao kuwachukua tena Mane na Salah.

Juni 2022 Julian Ward ana kibarua matata sana.

Wafauatao mikataba inaisha June 2023.
Keita
Salah
Mane
Firmino
Ox.

Kwa hao hapo Ox na Keita 🙈🙈 Juni hii FSG wawapige bei mapema tu.


YNWA
Unampenda sana Bobby eeh?😂😂😂
 
Jana kulikuwa hakuna sababu ya Tuchel kufanya sub ya kipa. Ukizingatia mendi alikuwa na Spirit since mwanzo wa mchezo. Akaingixa Kepa aliyekuwa na wenge. TT jana kavurugwa but ndiyo mchezo
Penalt ni kama kucheza kamali vile, why nasema hivyo stats zinambeba kepa kwenye pena kuliko mendy,

Refer super cup vs villareal,
Carabao cup vs southampton n aston villa zote hizi kepa ndio aliamua

It happens penalt hazina mwenyewe even John Terry aliwah miss penalt muhim kuliko hata ya kepa
Hiv vitu huwa vinatokea, na hakuna guarantee kwmba mendy angedaka hata penalt moja

Angedaka mendy then asingedaka hata moja tungerufi kusema why hakumuweka kepa wakat kepa ni mzuri kwenye penalt

Siku zote bahat huwa haiko upande wako, jana tulikuwa hatuna bahati tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom