Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Matip anashangilia hadi simtambui usoni





Matip anashangilia hadi simtambui usoni





Liverpool ni bingwa aheshimiwe.ayo mengine ni useless porojo.sisi Liverpool tunaamini kua refa kawabeba Sana chelsea.full stopSababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.
Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-
- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.
Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-
1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.
2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.
3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.
Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.
NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible
Nahis kwa kovacic mpira ulimgonga tumbon even drurry alikubalian na maamuzi ya refaSababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.
Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-
- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.
Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-
1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.
2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.
3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.
Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.
NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible
Umesahau final ya ucl alikufanya nini?Yaani Chelsea anawasumbua na kuwapeleka 120 ,huyo Chelsea tungemkaanga na kumsosomola na kachumbali ndani ya dakika 90 tu ...
Mzee unatumia tv ya chogo? Line ndio ilionyesha kuwa ni offsideHiv kwanini goal la Lukaku lilikataliwa kigezo gani kilitumika maana line ilionyesha kabisa sio offside
AlishikaSijamuona mane akiwa ameshika kombe.
Hahahaha unamuona alivyo motoMatip anashangilia hadi simtambui usoni![]()
Amepanua mdomo ameachama hadi simtambui msomali wanguHahahaha unamuona alivyo moto
YNWA
Bad day at the office its happens man.Salah was off jana
He needs some resting
Hivi si awape Keita na Thiago siri ya kuachana na upepo wa majeruhi jamani.Amepanua mdomo ameachama hadi simtambui msomali wangu
Kila mtu alishika pale jukwaani, huku uwanjani ni mbwembwe tu zilifanyika kupata picha.Sijamuona mane akiwa ameshika kombe.
Mkuu VAR ni binadamu na kama ujuavyo binadamu hufanya makosa hivyo kama hakuotea na VAR akasema ameaotea then ni human error kwa VAR referee .Sijaona hata kidogo Lukaku kazidi zaidi ya mlinzi wa Liverpool lakini nikashangaa wamekataa goal hata leo TT kalalamika imekuaje ile sio goal
ile final aliotea bana...! Baada ya hapo kila mtu anaona vipigo anavyopata ...!Umesahau final ya ucl alikufanya nini?
Jana kulikuwa hakuna sababu ya Tuchel kufanya sub ya kipa. Ukizingatia mendi alikuwa na Spirit since mwanzo wa mchezo. Akaingixa Kepa aliyekuwa na wenge. TT jana kavurugwa but ndiyo mchezoHongereni sana kwa ubingwa wa EFL, sisi Kepa katuuza.
Still Chelsea bado ni mabingwa wa DUNIA.
Unampenda sana Bobby eeh?😂😂😂Hahaha Firmino na Mane wanalipilika ila sasa Mflame wetu Mo Salah ndio balaa mshahara anaotaka.
Naona sasa baada ya dogo Diaz kuonyesha uwezo sasa FSG wanakwenda mazima kwa Nunez Benfica huu ni ujumbe kwa Salah na kambi yake kwamba klabu inajipanga na maisha bila wao ma top performers pale mbele.
Pazuri kwa Salah au Mane wanaweza kumuuza PSG Salah tetesi ni kwamba Real Madrid wanawachukua kwa mpigo Mbappe na Haaland hivyo itakua ngumu kwao kuwachukua tena Mane na Salah.
Juni 2022 Julian Ward ana kibarua matata sana.
Wafauatao mikataba inaisha June 2023.
Keita
Salah
Mane
Firmino
Ox.
Kwa hao hapo Ox na Keita 🙈🙈 Juni hii FSG wawapige bei mapema tu.
YNWA
Tuweke utani pembeni,ile body ya matip jamani acheni tu🙌Hivi si awape Keita na Thiago siri ya kuachana na upepo wa majeruhi jamani.
YNWA
Angemuacha Mendy amalizie tu.Jana kulikuwa hakuna sababu ya Tuchel kufanya sub ya kipa. Ukizingatia mendi alikuwa na Spirit since mwanzo wa mchezo. Akaingixa Kepa aliyekuwa na wenge. TT jana kavurugwa but ndiyo mchezo
Tumeshinda kwa jasho aiseeHongereni Liverpol mmeahinda kialali
Penalt ni kama kucheza kamali vile, why nasema hivyo stats zinambeba kepa kwenye pena kuliko mendy,Jana kulikuwa hakuna sababu ya Tuchel kufanya sub ya kipa. Ukizingatia mendi alikuwa na Spirit since mwanzo wa mchezo. Akaingixa Kepa aliyekuwa na wenge. TT jana kavurugwa but ndiyo mchezo