Hiv kwanini goal la Lukaku lilikataliwa kigezo gani kilitumika maana line ilionyesha kabisa sio offside
Sababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.
Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-
- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.
Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-
1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.
2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.
3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.
👉 Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.
NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible