Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Aende tu Firmino aiseeBwana wee naona aidha Mane, Firmino, Salah kuna mmoja safari imefika.
Huyu Nunez ndio tegemeo jipya kwa Uruguay.
YNWA
Watuachie Mane wetu na Salah
Aende tu Firmino aiseeBwana wee naona aidha Mane, Firmino, Salah kuna mmoja safari imefika.
Huyu Nunez ndio tegemeo jipya kwa Uruguay.
YNWA
Duuh Mondela dogo Kelleher hajafika hata level ya sweeper keeper Allison.
Jana kacheza vizuri sana lakini any day of week nitamchagua Allison.
Tuna baraka kua nao wote wawili kikosini ni hazina kubwa kua na ma kipa wa uhakika kikosini.
YNWA
Dogo kaamka vizuri sana.Mkuu me sikupenda kuwekwa huyo dogo golini nilikuwa nawasiwasi sana nilikasilika sana.
Nilikuwa nataka allison ndio akae golini.ila dogo kafanya vizuri tu.
Hahaha HB wako Bobby una mkaanga hivi hivi.Aende tu Firmino aisee
Watuachie Mane wetu na Salah
Naonaga hizi fainali VAR inakua makini hata kwa theluthi ndogo tu basi offside yaaani.Hiv kwanini goal la Lukaku lilikataliwa kigezo gani kilitumika maana line ilionyesha kabisa sio offside
Na angekaa Allison tungepigwa ile dakika ya 90,,Mkuu me sikupenda kuwekwa huyo dogo golini nilikuwa nawasiwasi sana nilikasilika sana.
Nilikuwa nataka allison ndio akae golini.ila dogo kafanya vizuri tu.
Mbele ya Mane na Salah anisamehe tu.Hahaha HB wako Bobby una mkaanga hivi hivi.
YNWA
Baada ya ile game ya Arsenal Klopp ali confirm kabisa kuwa kipa atakaedaka kwenye final ni Kelleher so ilikuwa inajulikana mapema tu.Mkuu me sikupenda kuwekwa huyo dogo golini nilikuwa nawasiwasi sana nilikasilika sana.
Nilikuwa nataka allison ndio akae golini.ila dogo kafanya vizuri tu.
Dogo kaamka vizuri sana.
Mtihani sasa atakumbali kubakie Liverpool kweli?
Naona Newcastle wakija mazima kwake.
YNWA
To be honest pale mwenyewe sijaelewa mpaka mda huu kwanini imekuwa offside. Lukaku anaonekana yupo onside ila ule mstari sijui ilikuwaje.Naonaga hizi fainali VAR inakua makini hata kwa theluthi ndogo tu basi offside yaaani.
YNWA
Baada ya ile game ya Arsenal Klopp ali confirm kabisa kuwa kipa atakaedaka kwenye final ni Kelleher so ilikuwa inajulikana mapema tu.
Hahaha Firmino na Mane wanalipilika ila sasa Mflame wetu Mo Salah ndio balaa mshahara anaotaka.Mbele ya Mane na Salah anisamehe tu.
Nampendaga mno Mane,,na sura yake ya kipole ile kama roho yake yaani.
Chalobah hadi nilimuonea huruma maana alinyanyasika sana na ninahisi walivyo mtoa Diaz chalobah alipumuaPale kwa Diaz mmepata mtu, kuna mda nilikuwa namuonea huruma Chalobah






Nadhani kama kocha huwa anapangia wachezaji mechi au tournament watakazocheza so Ali ni wa CL na PL halafu Kelleher ndio wa hizi cup competition.Nilikuwa nalijua hilo kuanzia muda huo nilikuwa nasikilizia kama atabadilisha mawazo Klopp.
Nilihisi furaha aliyokuwa nayo baada ya mechi tu ndio akaropoka hivyo, kumbe alimaanisha kweli.
Na ndio maana wanasemaga ushindi pia ni bahati maana jana ile pale nilijua tumelala.To be honest pale mwenyewe sijaelewa mpaka mda huu kwanini imekuwa offside. Lukaku anaonekana yupo onside ila ule mstari sijui ilikuwaje.
Sometimes unlucky things happen. Tulikuwa na bahati sisi.
Hiv kwanini goal la Lukaku lilikataliwa kigezo gani kilitumika maana line ilionyesha kabisa sio offside
Anastahili kua starter mahala.Sasa hivi Ataanza kupata kiburi huyo kama Phillips wetu.