Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Penalt ni kama kucheza kamali vile, why nasema hivyo stats zinambeba kepa kwenye pena kuliko mendy,

Refer super cup vs villareal,
Carabao cup vs southampton n aston villa zote hizi kepa ndio aliamua

It happens penalt hazina mwenyewe even John Terry aliwah miss penalt muhim kuliko hata ya kepa
Hiv vitu huwa vinatokea, na hakuna guarantee kwmba mendy angedaka hata penalt moja

Angedaka mendy then asingedaka hata moja tungerufi kusema why hakumuweka kepa wakat kepa ni mzuri kwenye penalt

Siku zote bahat huwa haiko upande wako, jana tulikuwa hatuna bahati tu
Kwanini useme asingedaka?
Angedaka je?
 
mpira wa maneno ndio unakujaga kuwaponza.
Subiri jumapili tuwafunge midomo nyie kuku.
Kwamba ninyi ni nani mubebe EFL,FA,EPL na UEFA hahahahahaha ..munaleta ushabiki maandazi kisa viushindi vyenu viwili vitatu

#CFC
Where are you my friend ollaChuga..
Ulisema utatufunga mdomo kumbe ulikua unazuga...
Sasa umekimbia kama Hussein Bolt unachanja mbuga...
Pole sana kama umeumia njoo unipige nipo mwanza buzuruga...
Teh teh teh teh teh teh teh...
 
Jana kulikuwa hakuna sababu ya Tuchel kufanya sub ya kipa. Ukizingatia mendi alikuwa na Spirit since mwanzo wa mchezo. Akaingixa Kepa aliyekuwa na wenge. TT jana kavurugwa but ndiyo mchezo

Sifuatiliagi sana Mechi zenu lakini nimewasikia baadhi ya Washabiki wa Chelsea wakisema kuwa ile Tactic ya jana ya TT kumbadilisha Kipa ilishawahi kufanya kazi kwa kuleta Matokeo Chanya kwenye Mechi 3.
Hivyo kwa Uwiano huo TT jana hajakosea hata kidogo.
 
Screenshot_20220226_161407_com.allfootballapp.mls.soccer.livescores_edit_174551887122843.jpg


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom