Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndio mpira ulivyo lazima mshindi apatikane hiv sijui nyinyi mkicheza na sisi game inakuwa Kali kweli kweli
Ndio maana halisi ya burudani.

Itakua bora tukutane tena msimu huu.

Yule Silva sijui anakula nini maana sijui miaka 38 almost na anakwenda sawa na madogo.

YNWA
 
Ndo uingereza hio, utaambiwa Elliot ana thamani kuliko Diaz
Hahaha kweli kabisa wachezaji wa UK wapo overrated maana Diaz kwa mishe hizi alitakiwa bei iwe £150m. Kwanza dogo ana miaka 25 tu na lugha ya malikia bado haipandi vizuri imagine akishaanza kuelewa waalimu wachezaji na wenzake huyu si atakua balaa.

Pep Lijnders ashukuriwe kwa kumuona huyu dogo na kumwambia Klopp anatufaa.

YNWA
 
Alafu wakamtoa mendy 😀😀,angewasaidia kwenye penalt
Hahaha Kepa hivi karibuni kawatoa kibingwa penati kama mara 3 hivyo ana rekodi powa kabisa.

Kama unavyojua penati huna hazina mwenyewe na pale Kepa alijiaada kudaka na sio kupiga itakua ilimstua mno kwamba sasa ni kipa kwa kipa hakutegmea kabisa.

YNWA
 
Lakini mechi nyingi nilizoziona mimi,kipa akibadilishwa kwenye penalt basi kinachofuata ni kushindwa
Mendy penati anazoweza kudaka ni zile mtu anapiga kimasihara....

Mfano kama ile aliyopiga Fabinho kama sijakosea.

Japo kwenye afcon nakumbua kuna penati alicheza against misri ila siyo kawaida.
 
Hata mimi sikutegemea kama wachezaji wote wataisha na watapiga makipa
Hahaha Kepa hivi karibuni kawatoa kibingwa penati kama mara 3 hivyo ana rekodi powa kabisa.

Kama unavyojua penati huna hazina mwenyewe na pale Kepa alijiaada kudaka na sio kupiga itakua ilimstua mno kwamba sasa ni kipa kwa kipa hakutegmea kabisa.

YNWA

Nilitamani pia mpira uendelee,,baada ya makipa kupiga sijui huwa nini kinafuata.
 
Uwepo wa Kelleher jana umetufanya tunyanyue Carabao, huyu jamaa kajituma sana maana ame save mashoot ambayo nafikiri angekuwa ni Allison tungekuwa tunazungumza habari nyingine, Kiukweli kama kunamtu ananamba za sim za klopp anipe ili nimwambie awe anafanya Rotation ya Allison na Kelleher
Duuh Mondela dogo Kelleher hajafika hata level ya sweeper keeper Allison.

Jana kacheza vizuri sana lakini any day of week nitamchagua Allison.

Tuna baraka kua nao wote wawili kikosini ni hazina kubwa kua na ma kipa wa uhakika kikosini.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Hata mimi sikutegemea kama wachezaji wote wataisha na watapiga makipa


Nilitamani pia mpira uendelee,,baada ya makipa kupiga sijui huwa nini kinafuata.
Wangeanza tena wachezaji upya hahaha jana naona ulizimika kabisa kwa furaha.

Hongera sana kwa ushindi Miss Liverpool Saint Anne.

YNWA
 
Mendy penati anazoweza kudaka ni zile mtu anapiga kimasihara....

Mfano kama ile aliyopiga Fabinho kama sijakosea.

Japo kwenye afcon nakumbua kuna penati alicheza against misri ila siyo kawaida.
Kudaka penalt ni kazi mno..ila jamaa jinsi alivyo mzuri basi angepangua hata moja.

Kumbuka wamepiga wachezaji wote,hata wale ambao huwa hawapigi.

Kama si kudaka basi asingepaisha nje kama mwenzie alivyofanya.
 
Duuh Mondela dogo Kelleher hajafika hata level ya sweeper keeper Allison.

Jana kacheza vizuri sana lakini any day of week nitamchagua Allison.

Tuna baraka kua nao wote wawili kikosini ni hazina kubwa kua na ma kipa wa uhakika kikosini.

YNWA
Hiv kwanini goal la Lukaku lilikataliwa kigezo gani kilitumika maana line ilionyesha kabisa sio offside
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom