Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu dogo akiwa updated zaidi ya hapo atakuwa monster aise, aongeze pumzi zaid naona leo pumzi ilimzimikia kuna muda.
All in all anastahili kila safa aise na tumelamba garasa hapa.
Uyu chalii kaja kawakuta kawaacha, kiwango yake ni habari nyingine
 
Huyu dogo akiwa updated zaidi ya hapo atakuwa monster aise, aongeze pumzi zaid naona leo pumzi ilimzimikia kuna muda.
All in all anastahili kila safa aise na tumelamba garasa hapa.
Hivi najiulizaga unatoa aje £100m kwa Grealish wakati kuna chipukizi kama huyu kwa bei cheee.

Aafu umesikia tetesi?

Tunarudi Ureno tena Juni 2022 mazima Benfica kumchukua Darwin Nunez yaaani maisha Anfield yanazidi kua matamu.

Katazame stat za Darwin utaona alivyo.

YNWA
 
Hivi najiulizaga unatoa aje £100m kwa Grealish wakati kuna chipukizi kama huyu kwa bei cheee.

Aafu umesikia tetesi?

Tunarudi Ureno tena Juni 2022 mazima Benfica kumchukua Darwin Nunez yaaani maisha Anfield yanazidi kua matamu.

Katazame stat za Darwin utaona alivyo.

YNWA
Ndo uingereza hio, utaambiwa Elliot ana thamani kuliko Diaz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom