Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220228_105332_com.android.chrome_edit_164447262432197.jpg


YNWA
 
View attachment 2133826

Klopp is lucky.

Ila huyu mzee has some balls yaaani anaweza aje kumwazisha Kelleher mpaka mwisho fainali. Haha Klopp i salute you man.

Sasa Carvalho atue tu ameona kwa vitendo Klopp ana imani na vijana chipukizi.

YNWA
Anasema Kwa jana it was emotions against football and emotions won

So kelleher started and won it
 
Sababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.

Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-

- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.

Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-

1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.

2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.

3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.

👉 Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.

NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible
Uoni hapo kwa nakosa hayo liverpool ndio wamefaidika zaidi? hiv unadhani keita angekula red card game ingekuaje
 
Sababu ni moja kati ya hizi 2:
1) Refa hakutafsiri sahihi sheria ya Offside.
2) Sheria ya Offside imebadilika lakini hatujapata update.

Lakini siamini kama Refa Jana alikuwa upande wa Liverpool kwasababu:-

- Kuna Mpira aliupiga Salah ukamgonga Covasic kwenye Mkono, hapo Refa angekuwa upande wetu basi angeweza kutuzawadia Tuta kiulaini tu bila ya lawama yoyote lakini Kapeta.

Kwa Mtazamo wangu Refa jana kafanya Makosa 3 tu makubwa, mengine ya sijui mtu kavutwa jezi hayo naachana nayo:-

1) KOSA LA KWANZA:
- Faulo aliyoifanya Keita ilikuwa ni Red Card na si Vinginevyo kwani kacheza Serious Foul kwa kukusudia.

2) KOSA LA PILI:
- Goli la Lukaku lilipaswa kukubaliwa.

3) KOVASIC KUSHIKA:
- Mpira alioupiga Salah na ukamgonga Kovacic kwenye mkono ulipaswa kuwa Penalty wapewe Liverpool lakini Refa Kapeta.

👉 Hivyo kwa makosa hayo ya pande zote yamefanya kubalance mchezo kwani wote wameathirika na wote wamefaidika.

NB: Vikosa vidogovidogo nimefanya negligible
Keita was not a red card

And goal la matip was clear goal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom