King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Ingelikuwa Man City haina ubora ule wa kupindukia basi tungebeba na EPL


DuhMabingwa wa dunia kwa wiki mbili tu, aibu
Kombe limechukuliwa na Nani tena?Hatuna njaa kiasi hicho. Bado mmiliki ni Mrusi.Baadala ya kuwaza nani atawalipa mishahara na posho zenu we unawaza fainali nyingine, labda 2025.
So long brother, time for regime change
Siyo mara ya kwanza kufanya hivyo na imeshawork mara kadhaa.Hapa coacher alitumia tope kuwaza,hakutumia akili.
Ameingia na mguu wa bahati..........ndani ya mwezi na ushee ana nyanyua kwapa,ni dalili nzuri kwake na kwetu......YWNA🦾🦾🦾🦾
Yes nimesoma mahali. Kama Chelsea ikiwa Seized probably ndio utakuwa mwisho wa hiyo club.Even putin akionyesha utaira wake
Roman anawadai chelsea almost 2BLN, yani ukitaka kuistaifisha its like kama unaiua kabisaaa. N how many people are gonna lose their job.
Boris mwenyewe last time anaulizwa kuhus abramovich anabak anajichanganya
Acha kutumia nguvu nyingi....Huwezi fika funal uefa wewe
Kumiss zile clear chances ndio kitu kilifanya game isiishe 90 minutesJana masifa ya Kante na Kovacic kama ya last game sikuyaona.
Fabinho aliwafanya Kitu mbaya! Kuwa out standing kwenye Midfield ndiyo kitu pekee kilichotufanya tuwaweze Chelsea
Mbona haupo kwa final sasa?Yaani Chelsea anawasumbua na kuwapeleka 120 ,huyo Chelsea tungemkaanga na kumsosomola na kachumbali ndani ya dakika 90 tu ...
Sisi Hilo kombe tumelichoka kiufupi ...Mbona haupo kwa final sasa?
Kero mara 8, liverpool mara 9, hamna uwezoSisi Hilo kombe tumelichoka kiufupi ...
Kwanza team ikiwa inacheza carabao pep anakosa hata maneno ya kuwamotivate dressing room kwani tumechukua mpaka kerooo...
Jamaa Hana was enjoying every moment
Unamaanisha Chelsea ipi mkuu?Yaani Chelsea anawasumbua na kuwapeleka 120 ,huyo Chelsea tungemkaanga na kumsosomola na kachumbali ndani ya dakika 90 tu ...