John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,040
Alhamisi Tu n arsenal carabao[emoji23]Mane na Salah wameondoka. Sisi tutakachokifanya cha maana ni kuhamia humu ndani.
Subirini.
Brentford tar 16 lazima ajipigie nyinyi kunguni.
Alhamisi Tu n arsenal carabao[emoji23]Mane na Salah wameondoka. Sisi tutakachokifanya cha maana ni kuhamia humu ndani.
Subirini.
Brentford tar 16 lazima ajipigie nyinyi kunguni.
Tuje kwenu tena mara ya ngapi unaonekana haujui hata kuwa hyo game ya Jana ndo second tie baada ya Ile sare 1-1 pale anfieldHata nyie mbona hamjashinda??
Ndio ujue siku hazilingani...
Na mlivyokuwa hamuamini mmefurahia draw yaani.
Subiri mje kwetu tena pale kiumeni Anfield tuwanyooshe .
Mimi kiungo ambaye hawezi kupunguza hata mtu mmoja huwa simkubali, ndio Henderson na milner.
Kocha anajua Chelsea huwa wanajaza viungo kati yeye anawawekea milner na henderson
SAWA.Tuje kwenu tena mara ya ngapi unaonekana haujui hata kuwa hyo game ya Jana ndo second tie baada ya Ile sare 1-1 pale anfield
Mimi nilikuwa najiuliza sana hizi midfielder zilizo kuwepo leo ndio mpango wa Klopp kabla ya covid? Hivi kwa game ngum kama ya leo unamuweka Milner!
Mkuu nje hakuna mchezaji wakuingia Mkuu usilaumu sana.
Wachezaji tegemezi wote wana COVID-19, sasa nani atacheza.
angekuwa Ali ,matip,Thiago hapo sub angeingi Bobby lakini sasa hatuna wachezaji.
Mechi na Spurs wachezaji walikuwa na COVID-19, na mechi hii pia wana Covid-19 tena wengine mpaka inatia hasira .
Wiki ijayo wengine watakuwa na COVID.
Salah,mane ,matip na keita wanaondoka sasa hao wengine wanaobaki na wao wakiumwa COVID tutashindwa kupata point kwa sababu za kijinga sana.
Hatuna kikosi kipana wachezaji sasa wajilinde.
we piga ramli2 jana umeponea chupuchupu niliwaambia amna tim isiyoogopa kucheza na ssNdio nasema mpeni na hiyo adake.
Na hamtoboi ng'oo..timu linaenda kuporomoka.
Na sio mara ya kwanza msimu huu anakua vile aisee.Alitegea kukaba... Alifeli aiseeee
Yaani jamaa alikuwa anaonekana kabisaaa anasindikiza.Na sio mara ya kwanza msimu huu anakua vile aisee.
Sio lile jeraha limempa uoga kiasi hiki.
YNWA
Walitukamata vilivyo jana wametuzidi kila idara kasoro tumegawana pointi.Nilijua tu hawawezi kushinda😄
Naondokaje na mtu anashabikia timu boovu.
Ipo tatizo lile jeraha la msimu mzima kuna uoga fulani jamaa amepata ni ngumu kumlaumu maana ilikua mbaya na mpaka kupona hatujui kapitia yapi..Yaani jamaa alikuwa anaonekana kabisaaa anasindikiza.
Janaa huyu Mendy au Kante ndio man of the match.. Waliupiga mwingi sana.Alafu Mendy huwa anafungwa magoli ya kizembe kweli ila ile miwa yenyewe unaona ni goli ndio anatoa, jamaa anakera.
Wazembe tu,sasa wamekosa ushindi mweupee.Walitukamata vilivyo jana wametuzidi kila idara kasoro tumegawana pointi.
YNWA
Si mngeshinda sasa kama nyie wababe kweli[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16]we piga ramli2 jana umeponea chupuchupu niliwaambia amna tim isiyoogopa kucheza na ss
Hendo ni headless chicken. Japo huyu Edwards na Klopp wanasifika kwa biashara safi ya wachezaji nashindwa kuelewa huyu Hendo amepewa mkataba mpya wa nini. Hii ishu MosDef alieelezea kwa kina sana.Kipa pale usimlaumu mkuu. Ile move kaianza Hendo badala ya ku clear mpira aoshe uende hata nje akampasi Trent pass ya hovyo tena akiwa under pressure. Hendo ndio ametu cost game ya leo wala halina ubishi hilo.
Hahaha. Powa powa nitajitahidi.Wazembe tu,sasa wamekosa ushindi mweupee.
Mkuu tuendelee na zile nondo zetu[emoji4]
Hawa kuna namna wanakuwa favoured.Hendo ni headless chicken. Japo huyu Edwards na Klopp wanasifika kwa biashara safi ya wachezaji nashindwa kuelewa huyu Hendo amepewa mkataba mpya wa nini. Hii ishu MosDef alieelezea kwa kina sana.
Kingine Edwards alijua fika tuna pancha Keita na semi pancha Hendo na Ox lakini bado akatuletea Thiago pancha nyingine kwa kweli huku ku pwaya kwa MFs alaumiwe Klopp na Edwards kwa baishara za hovyo kabisa. Ajabu wakamwachia Mr Fit Gini kuodoka bure kisa alitaka miaka 3 mkataba mpya na mwaka mmoja optional.
Jana Lukaku baada ya kufanya ile interview na Sky Italy na kuongea maneno fulani ya kutoridhika kocha wakw chap akamtupa hukooo. Nimeipenda sana ile kuonyesha hakuna mchezaji aliezaidi ya Chelsea. Kwa Liverpool bhana kuna wachezaji sana sana hawa watoto wa malkia ni zaidi ya Klopp aisee maana unavyotegemea kocha awe na msimamo kutokana na output uwanjani ndio mchezaji apate dakika ni tofauti kabisa.
Niliona Henderson alivyotolewa ile mechi ya Leicester alionyesha dharau fulani kuukwepa mkono wa Klopp yaaani haya matukio yake ya hivi ni mengi sana na bado uwajani zaidi ya kutuumiza hakuna anacho offer.
YNWA
Jitahidi mkuu.Hahaha. Powa powa nitajitahidi.
YNWA