42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,914
Si tulikuja mkashindwa kutunyoosha?Hata nyie mbona hamjashinda??
Ndio ujue siku hazilingani...
Na mlivyokuwa hamuamini mmefurahia draw yaani.
Subiri mje kwetu tena pale kiumeni Anfield tuwanyooshe .
Hivi ulikuwa hujazaliwa wakati tupo 10 uwanjani na mkashindwa kutufunga?