Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hii timu tutasingizia kuwa kiungo sijui akicheza nani hatuwi exposed lakini kwa mfumo huu hata acheze malaika pale kati mtaona pako shit, timu inachezea high sana kiasi kwamba zinapigwa ndefu watu wanakimbia kumtafuta Allison, yani ndio 90% ya magoli tuliyofungwa 10% set pieces
 
Dogo nimemfuatilia nyendo zake Sasa nimejiridhisha ..anajaza Sana michuzi yenye nyama ...
Kanikumbusha Kuna game Moja England ilizidiwa wakiwa nyuma goli 1, Beckham akawarudisha mchezon kwa Goli la faulo kama leo mwishowe wakashinda 2-1 ..ndo dalili za leo! Game tough
YNWA!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom