Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawakupata hata shot on target hata moja,off target ilikuwa moja.
Baada ya kuchomekwa viwili kwa uzembe wa mabeki yenu na Shati lenu Allison Sasa munakosa Cha kusema munaanza kujadili shot on target hahahaha kweli nyie ni kuku akili zenu fupi Sana.
 
Hamuna beki Tena na pale golini Alison ameshakuwa Shati😂😂😂
Uliangalia mechi chalii? Becker katuokoa sana game nyingi. Beki ndio shida ila kipa hana baya kabisa. Hata ile goli ya jana ya KDB kama sio Matip kuuhamisha upande alikuwa anaokoa na labda ile ingekuwa match winning save.

Angalia nafasi ngapi zilikuwa clear scoring chances kwa City na aliokoa.
 
Mimi nimechukua ubingwa wa ulaya mbele ya Shityee wewe umechukua point moja tu na kubamizwa bao mbili.
Hahaha i see. Bado unaishi kwenye last season. Msimu huu kakubakua vizuri tu kachukua point 3 kwako. Yani wewe umeondoka na kibuyu kwake. Mimi nimeondoka na moko. Nani ana afadhali?
 
Mkuu magoli aliyofungwa liver ni uzembe wa beki, usiangalie mfungaji angalia mpira ulipotoka kabla haujafika kwa mfungaji
Naona umekubali beki zenu ni matakataka tu. Waambie wenzako hamuna beki pale Tena.
3-3 dhid ya Brentford
2-2 dhid ya city
1-1 dhid ya Chelsea.
Ni ligi tu hii bado michuano mingine.
Hadi January utakuwa ushashindiliwa siyo chini ya bao 25+ na draw za kushato😂😂😂😂
 
Kabisa na kacheza mpira usio na kifani maana kumng'ang'ania mtu kwa kumshika mkono si mchezo mpira ufundi bwana wee
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Klopp na jopo lake na walimu wana kazi kubwa sana aisee. Sina shaka na magoli kufunga mbali nina mashaka na kuzuia. Ile high line kwa sasa inatuumiza sana. Kiungo na defence kinakua bypassed mno. Hii haijakaa sawa.

Uzuri Klopp ameyaona nina imani atayafanyia kazi na kurudi na package konki zaidi.

YNWA
 
Kitu kilicho baki kwa chelsea kwa sasa ni kwamba wanaongoza league tu, hawakumbuki ball possession waliyo kuwa nayo kwa city
Chelseafc wana utu sana,hakunakitu kinacho uma kama kufungwa final ya Euefa,kama Chelsea aliweza kumfunga city mara3 mfululizo unadhani angeshindwa kumfunga tena kwenye epl tena nyumbani,alichofanya Chelsea alimwachia makusudi city ilikumfariji Kwa machungu aliyoyapata,sometime kwenye soka lazima tuwewaungwana usipende kuona mwenzako analia kila siku kwaajili yako.
 
Chelseafc wana utu sana,hakunakitu kinacho uma kama kufungwa final ya Euefa,kama Chelsea aliweza kumfunga city mara3 mfululizo unadhani angeshindwa kumfunga tena kwenye epl tena nyumbani,alichofanya Chelsea alimwachia makusudi city ilikumfariji Kwa machungu aliyoyapata,sometime kwenye soka lazima tuwewaungwana usipende kuona mwenzako analia kila siku kwaajili yako.
,wewe jamaa ni fala sana
 
Hendo was off. Matip alistahili angalau 8 sio 7. Milner kwa aina ya mechi na wachezaji aliokuwa ana wa face siwezi kumlaumu tofauti yake kiumri na Foden ni 14 years. Huwezi ku expect angeenda toe to toe na yule dogo, miguu inakataa.

Foden level yake angekabwa na mtu kama TAA. Halafu pia TAA angekuwepo City wasingekuwa la ile luxury ya kupanda wanavyotaka kwenye ile wing ya kushoto. Angalia kule kulia walikuwa hawana ujanja maana Robbo mtu wa kazi.

All in all tuombee vijana wetu wawe fit tu mapema maana hizi injury zinatuharibia mipango.

VvD bado hajarudi kwenye ubora wake sijui atachukua muda gani kukaa sawa maana saivi yeye ndio anacheza kwenye kivuli cha Matip. It's about time Gomez aonyeshe uwezo wake vizuri.
Its simpo ndugu upande wa Milner alisimama Salah na Henderson. Sasa defending inakua most likely ni Henderson afanye msaada kwa Milner huku pia kama inalazimu na Salah asaidie. Ishu jana Henderson gemu ilimkataa na kumsababishia babu Milly shinda zote zile.

Ukitazama upande wa kushoto Jones alimsaidia sana Robertson offensive na baada ya Manchester City kuona vile wakaamua sasa mashambulizi yao yapitie kwa Milner huku pia wakimtafutia kadi ya njano ya pili 😂😂😂and Pep was damn furious kwa mara ya kwanza nimemuona akitgemea tuwepungufu ili apambane apate ushindi aisee..kwa Klopp ni levo zingine kabisa.

VVD duh huyu mwamba ile injury must have scared the boy kiasi mpaka sasa ule usolid wake pale nyuma sio kama zamani. Let's be positive atakaa sawa na uzuri he make the others better and better..

YNWA
 
Tungedraw na Manure ningelalamika kama nilivyolalamika tulivyodraw na Chelsea kwasababu ni Timu za kawaida tu
"If claims are not supported by proof, they are used only by the fools as evidence"
 
We tulia tu utang'oka hapo very soon
Kuku kama wewe ulishindwa kumng'oa ukiwa nyumba kwako tena Chelsea wakiwa pungufu unategemea nani atamng'oa pale juu,bila shaka jamaa ataendelea kupigwa na barafu pale kileleni.
 
Hivi Salah mnamlipa Shs ngapi kwa wiki? au wanaume tuje kumbeba tumlipe mshahara anaoutaka!
 
Baada ya kuchomekwa viwili kwa uzembe wa mabeki yenu na Shati lenu Allison Sasa munakosa Cha kusema munaanza kujadili shot on target hahahaha kweli nyie ni kuku akili zenu fupi Sana.
Nyie msiokua na mabeki wazembe si mgawa tu kwa kila mnaye kutana naye....city kawakojolea kimoja....mkatembea nacho matakon mpaka Turin.....juve akasema nayeye ngja niwakojoleee namm kimojaa.....

Nyie si mnajidai kupaki mabus ....mtakua mnatembea na bao moja moja matakon mbwa nyie....Tank lenu lukaku atageuka kua beki
 
Naona umekubali beki zenu ni matakataka tu. Waambie wenzako hamuna beki pale Tena.
3-3 dhid ya Brentford
2-2 dhid ya city
1-1 dhid ya Chelsea.
Ni ligi tu hii bado michuano mingine.
Hadi January utakuwa ushashindiliwa siyo chini ya bao 25+ na draw za kushato
Salah goli 6
Mane goli 4
Jota goli 3

Haya lete takwimuu ya forward zenu za kuagiza Kikuuu....
 
Chelseafc wana utu sana,hakunakitu kinacho uma kama kufungwa final ya Euefa,kama Chelsea aliweza kumfunga city mara3 mfululizo unadhani angeshindwa kumfunga tena kwenye epl tena nyumbani,alichofanya Chelsea alimwachia makusudi city ilikumfariji Kwa machungu aliyoyapata,sometime kwenye soka lazima tuwewaungwana usipende kuona mwenzako analia kila siku kwaajili yako.
We fala nn....unapaki bus dakika ya kwanza mpaka mpira unaisha unasema ulikua unamuachiaa?...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom