Ilakiza Kibod
Member
- Aug 3, 2019
- 86
- 74
Halafu mnajisifu team boraaa.....ukiona wap...Tulikuwa na kombe la muhimu UEFA na tukabeba... Kwa hiyo kumaliza nafasi yoyote haikuwa shida kwetu
Angalia city kafika fainal na kabeba lig we unakuja na utopolo wako et mlikua UEFA?

