Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

16 Epl matches still unbeaten.
Mtaendelea kujisifia 16 unbeaten lakini mlisahau 2018/19 Man city alichukua ubingwa kwa sababu ya ujinga huu huu wa unbeaten, na mnasahau kuwa droo nazo zinazopoteza point nyingi
Mfano sisi tumefungwa tumejiuliza tumeshinda tunaongoza ligi, ninyi na unbeaten yenu mko chini yetu, simple maths
 
Mtaendelea kujisifia 16 unbeaten lakini mlisahau 2018/19 Man city alichukua ubingwa kwa sababu ya ujinga huu huu wa unbeaten, na mnasahau kuwa droo nazo zinazopoteza point nyingi
Mfano sisi tumefungwa tumejiuliza tumeshinda tunaongoza ligi, ninyi na unbeaten yenu mko chini yetu, simple maths

Bila shaka utakuwa mshabiki wa chelsea wewe yaani unaongoza ligi kwa point moja na wewe unajisifia unaongoza ligi.

Mnababahika sana kukaa juu hapo kwa muda tu,

Kutokufungwa mechi ni dalili moja wapo za kuwa bingwa,maana bingwa anafungwaga mechi chache sana .
 
Bila shaka utakuwa mshabiki wa chelsea wewe yaani unaongoza ligi kwa point moja na wewe unajisifia unaongoza ligi.

Mnababahika sana kukaa juu hapo kwa muda tu,

Kutokufungwa mechi ni dalili moja wapo za kuwa bingwa,maana bingwa anafungwaga mechi chache sana .
Wanadalili mbaya sana hawa
 
Bila shaka utakuwa mshabiki wa chelsea wewe yaani unaongoza ligi kwa point moja na wewe unajisifia unaongoza ligi.

Mnababahika sana kukaa juu hapo kwa muda tu,

Kutokufungwa mechi ni dalili moja wapo za kuwa bingwa,maana bingwa anafungwaga mechi chache sana .
Unaweza ukafungwa mechi chache lkn ukasuluhu mechi km zote na ukaishia kupigwa bao n wengine kwenye ubingwa
 
Wewe mwenye beki nzuri mbona ulipakatwa getoni kwako
Acha uvivu nenda kaangalia matobo mmeshatobolewa mara 6, hustahili hata kulinganisha defence ya Chelsea na ya kwenu, mayenu tu pale. Beki ni VVD tu wengine wanacheza tu Mdumange
 
Kitu kilicho baki kwa chelsea kwa sasa ni kwamba wanaongoza league tu, hawakumbuki ball possession waliyo kuwa nayo kwa city
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom