Nyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyieNyie kuku huu msimu mutatoboka Sana hamuna beki Tena was kuzuia magoli.
Nyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyieNyie kuku huu msimu mutatoboka Sana hamuna beki Tena was kuzuia magoli.
True, naona msim huu naona bingwa ataamuliwa na mechi chache za mwisho au mwishon kabisa kama kila team ikiendea na performance zao hizi hizi walizonazo,Mkuu hivi tangu ligi imeanza tukishambuliwa hua husikii goosebumps....
Sijui ni vile hawa jamaa Matip na VVD wamekaa majeruhi muda mrefu sana ama niaje lakini ipo shinda pale yaaani kuna some tension inaedelea... Na pia kutokua na bei wa pembeni kulia wa uhakika haisaidii sana mipango...
Ubingwa bado sana ligi ipo wazi. Timu hizi kati ya Liverpool, Manchester City au Chelsea wanaweza kua mabingwa.
Furaha yangu tujikusanyie pointi za kutosha kabla ya January 2022 ili tujiweke nafasi nzuri.
YNWA
Kubali tu, kwamba chelsea ina beki bora.Naona nyie ndio mna beki ndio maana mliwafunga moja bila.
Peter Drury huyu jamaa bhana alizaliwa kutangaza mpira aisee what's a gentleman...🗣️ Peter Drury on Mo Salah's goal:
"That's PlayStation football. That's ridiculous. You cannot do that without a joystick."
This man is a poet.
Ushabiki pembeni Allison kapwaya sanaHamuna beki Tena na pale golini Alison ameshakuwa Shati![]()

, ila na nyie mpunguze kupack bus kwani ni westham nyie? 


Huyo jamaa kaweka ushabiki pembeniumemaliza kila kitu kaka.
Kabisa maana ukitazama ligi inavyokua na matokeo yasiyotabarika ni ishu nani angesema tunatoa sare na The Bees ki ufupi haya matokeo hua ni EPL tu ndio maana ndio ligi bora kabisa duniani..True, naona msim huu naona bingwa ataamuliwa na mechi chache za mwisho au mwishon kabisa kama kila team ikiendea na performance zao hizi hizi walizonazo,
Wewe ambaye hujabakwa lete msimamo.....Nyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyie
We tulia tu utang'oka hapo very soonSasa kama ni nafasi yako si ungeshinda uishike?
Ona huyu...
Kwa Hindi beki yenu inavyoruhusu mabao kizembe ni ngumu Sana kwa nyie kuwa mabingwa. Labda itokee performance ya city na Chelsea imeshuka. Lakini ukiwa Hivi Hivi hata man u anaweza kukuacha nyumaMkuu hivi tangu ligi imeanza tukishambuliwa hua husikii goosebumps 😂😂😂😂😂😂....
Sijui ni vile hawa jamaa Matip na VVD wamekaa majeruhi muda mrefu sana ama niaje lakini ipo shinda pale yaaani kuna some tension inaedelea... Na pia kutokua na bei wa pembeni kulia wa uhakika haisaidii sana mipango...
Ubingwa bado sana ligi ipo wazi. Timu hizi kati ya Liverpool, Manchester City au Chelsea wanaweza kua mabingwa.
Furaha yangu tujikusanyie pointi za kutosha kabla ya January 2022 ili tujiweke nafasi nzuri.
YNWA
Kwani nyie mlishinda kwa city? Unavyo tuambia hvyo?Sasa kama ni nafasi yako si ungeshinda uishike?
Ona huyu...


Punguza porojo.We tulia tu utang'oka hapo very soon
lete msimamoKwani nyie mlishinda kwa city? Unavyo tuambia hvyo?![]()
Exactly, na wasipo jiangalia wataishia Europa wacheze na akina Arsenal kuleNyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyie



Umedraw mechi tatu nyie kuku jumla ya point ulizopoteza ni 6 na umeruhusu bao 6. Na ligi bado ni ndefu ..kwa staili hii ikifika desemba utakuwa umeruhusu bao za kutosha tu.Nyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyie
PSG leo hajapiga shot hata moja na kachezea kipigo mbele ya Renes Tena na clean sheat juu..Nahiyo shot off target walijitahidi mno alafu et kutoa kwetu draw wanafulahi ili washike nafasi sio yao![]()
Jibu swali msimamo haunihusu maana najua hio sio nafasi yenulete msimamo
Peter Drury on Mo Salah's goal:
"That's PlayStation football. That's ridiculous. You cannot do that without a joystick."
This man is a poet.
PSG ndio cheltako au?PSG leo hajapiga shot hata moja na kachezea kipigo mbele ya Renes Tena na clean sheat juu..
Wewe unashangaa ya city??