Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu hivi tangu ligi imeanza tukishambuliwa hua husikii goosebumps ....

Sijui ni vile hawa jamaa Matip na VVD wamekaa majeruhi muda mrefu sana ama niaje lakini ipo shinda pale yaaani kuna some tension inaedelea... Na pia kutokua na bei wa pembeni kulia wa uhakika haisaidii sana mipango...

Ubingwa bado sana ligi ipo wazi. Timu hizi kati ya Liverpool, Manchester City au Chelsea wanaweza kua mabingwa.

Furaha yangu tujikusanyie pointi za kutosha kabla ya January 2022 ili tujiweke nafasi nzuri.

YNWA
True, naona msim huu naona bingwa ataamuliwa na mechi chache za mwisho au mwishon kabisa kama kila team ikiendea na performance zao hizi hizi walizonazo,
 
🗣️ Peter Drury on Mo Salah's goal:

"That's PlayStation football. That's ridiculous. You cannot do that without a joystick."

This man is a poet.
Peter Drury huyu jamaa bhana alizaliwa kutangaza mpira aisee what's a gentleman...

Peter Drury hua anatangaza na Jim Belglin ambae ndio usajili wa mwisho Liverpool alioufanya Liverpool legend manager Bob Paisley hivyo huyu ni home boy kabisa.. Jamaa wapo vizuri kiungazaji na hua hizi mechi kali wanapewa wao.

Long live Peter and Jim.

YNWA
 
True, naona msim huu naona bingwa ataamuliwa na mechi chache za mwisho au mwishon kabisa kama kila team ikiendea na performance zao hizi hizi walizonazo,
Kabisa maana ukitazama ligi inavyokua na matokeo yasiyotabarika ni ishu nani angesema tunatoa sare na The Bees ki ufupi haya matokeo hua ni EPL tu ndio maana ndio ligi bora kabisa duniani..

Ubingwa bado sana mpaka mechi za mwishoni hapa sasa ni vijana wasepe International warejee salama bila majeraha mapya ili kuzidi kupambana. Uzuri tayari tushacheza na hawa Citizens na Les Blues na tumepata pointi 2 muhimu sana. Ukumbuke msimu huu bookies favourite wengi wamewapa Manchester City na Chelsea hivyo sie tuendelee kupambana gemu baada ya gemu tutakua salama.

YNWA
 
Mkuu hivi tangu ligi imeanza tukishambuliwa hua husikii goosebumps 😂😂😂😂😂😂....

Sijui ni vile hawa jamaa Matip na VVD wamekaa majeruhi muda mrefu sana ama niaje lakini ipo shinda pale yaaani kuna some tension inaedelea... Na pia kutokua na bei wa pembeni kulia wa uhakika haisaidii sana mipango...

Ubingwa bado sana ligi ipo wazi. Timu hizi kati ya Liverpool, Manchester City au Chelsea wanaweza kua mabingwa.

Furaha yangu tujikusanyie pointi za kutosha kabla ya January 2022 ili tujiweke nafasi nzuri.

YNWA
Kwa Hindi beki yenu inavyoruhusu mabao kizembe ni ngumu Sana kwa nyie kuwa mabingwa. Labda itokee performance ya city na Chelsea imeshuka. Lakini ukiwa Hivi Hivi hata man u anaweza kukuacha nyuma
 
.
manchestercity_india-20211003-0001.jpg
 
Nyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyie
Exactly, na wasipo jiangalia wataishia Europa wacheze na akina Arsenal kule
 
Nyie mngekuwa na beki si mngekuwa na cleanshit za kutosha? Juve kawabaka, manshit kawagonga nyau nyie
Umedraw mechi tatu nyie kuku jumla ya point ulizopoteza ni 6 na umeruhusu bao 6. Na ligi bado ni ndefu ..kwa staili hii ikifika desemba utakuwa umeruhusu bao za kutosha tu.
 
Nahiyo shot off target walijitahidi mno alafu et kutoa kwetu draw wanafulahi ili washike nafasi sio yao
PSG leo hajapiga shot hata moja na kachezea kipigo mbele ya Renes Tena na clean sheat juu..
Wewe unashangaa ya city??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom