Kwa chelsea hapana, mliweka makipa wangapi?Refa alijitahidi sana kuwa upande wenu kama ambavyo refa alikuwa upande wenu kwenye mechi na Chelsea
Kwa chelsea hapana, mliweka makipa wangapi?Refa alijitahidi sana kuwa upande wenu kama ambavyo refa alikuwa upande wenu kwenye mechi na Chelsea
City kakubonda geto kwako halafu humuogopi?Tuiogope Timu mbovu ambayo inafungika kiurahisi hakuna wa kuizuia Chelsea msimu huu.
ChamberlainHivi January Salah na mane wakienda afrika cup of nation mtakuwaje

Jirani yako huwezi kumheshimu kuwa nilijali hadi akuzalishie mkeo, Chelsea unaona nitimu ndogo wakati mnaona kabisa inafanya mambo makubwa kuzishinda timu zako unazoziamini.Chelsea haina tofaut na dem Malaya ambaye akikutana na bwana mpya anajidai kukaza anabana mapajaa mwisho wa siku anaachiaaa....
Jamaa naona unahasira sana lakini ukweli unabaki palepale,isitoshe kupark bus nisehemu ya mchezo kama unaona kupark bus kunaweza kukupa matokeo mazuri kwanini usifanye hivyo.We fala nn....unapaki bus dakika ya kwanza mpaka mpira unaisha unasema ulikua unamuachiaa?...
Nimemfunga Sana mpaka fainali kwahiyo hanitishiCity kakubonda geto kwako halafu humuogopi?
Tuwaogope kwa kipi nyie kunguni?Yaan huu uzi wetu wamejaa mashabiki wa timu nyingine hasa chelsea...wanatuogopa sana
Kwan shida iko wap....Mna goli ngapi za kufungwa Hadi Sasa? Nyie mnapachikwa mabao kizembe Sana.
Laiti ungejua huyo City tulichomfanyia hivi karibuni hata hataki kuamini.City kakubonda geto kwako halafu humuogopi?
Kwenye kikosi chenu Nani anaingia first eleven ya LiverpoolOndoa Sala na VVD inabaki complete takataka tu
Ona hii kunguni... Zaidi ya Nusu ya wachezaji wa chelsea wanaingia kwenye kikosi cha Liver kuku.Kwenye kikosi chenu Nani anaingia first eleven ya Liverpool
Yupi kima ww...weka first eleven yako ....useme Nani anachukua Namba pale liverOna hii kunguni... Zaidi ya Nusu ya wachezaji wa chelsea wanaingia kwenye kikosi cha Liver kuku.
Tunakuja kwa wake zetu... Maana nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa kuwa mwanamke.Sijui yanakujaga kufanya nn huku kwa wanaumeee....
Ila kweli....mwanamke humfuata mwanaumeee...
Lin ukaona mwanaume anaolewa kwa mwanamkeee....ss tulishawaoaaa ....ndomaana hamtoki huku kwenda kwenuTunakuja kwa wake zetu... Maana nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa kuwa mwanamke.
Sasa nenda kaangalie msimamo nyuma ya Chelsea kuna mwanamke gani.
Ukiondoa Salah VVD na mane the rest ni matakataka...Yupi kima ww...weka first eleven yako ....useme Nani anachukua Namba pale liver
Mwanamke ulilialia ili tupate kadi nyekundu maana ulihisi hiyo ndio njia yako kushinda.Lin ukaona mwanaume anaolewa kwa mwanamkeee....ss tulishawaoaaa ....ndomaana hamtoki huku kwenda kwenu
Kama yetu matakataka yenu Ni makapiii....Ukiondoa Salah VVD na mane the rest ni matakataka...
Hapa unaongelea ushabiki, ila unajua fika VVD na Salah tu wakikaa nje nini kitakukuta.Kama yetu matakataka yenu Ni makapiii....