Zuckerman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,429
- 2,531
Sio kwa Liva hii game 3 inapata goli 1Mashabiki wa Manyumbu hawajawahi kuongoza ligi sasa wako tu juu hapo tayari wanajiona wameshachukua ubingwa,kiuhalisia bado sana.
Maana hapo bado man city kukaa juu hapo,Baada ya hapo mechi zitakuwa zimebaki chache,lakini sio sasa hivi ukae juu hapo useme nachukua ubingwa Safari,hapo hapana kabisa.mashabiki wa Manyumbu ilo hwalijui,muda utawahambia
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app

nieleweke huyo Southampton mm nimemfanyia come back ya hatari akafa 3-2 liva kuku katiwa kimoko hoi 