Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Manchester City alipata pointi 98 na Liverpool alipata pointi 97..pamoja na mengi sana yaliyochangia ifahamike Manchester City msimu alishinda mechi zote 13 za kumaliza ligi (i stand to be collected)..

Ubingwa tuliokosa pale tulivyotoa sare na West Ham, Everton, Leicester, Manchester United na tukifungwo na Manchester City mpaka hapo ubingwa ukawa byebye... Na katika hizo gemu hakuna gemu ilishangaza kama gemu ya Manchester United kwani walikua hoi na majeruhi kibao lakini tukapata sare nyumbani kwao...

Hakika hizi sare unazoona sasa kama mzunguko wa pili zitakua hivi hivi hatuna uhakika wa kupata EPL ya 20 tena...

Our hope and wish ni kuona vijana becoming more clinical and lethal when its matters na gemu ya South Coast Jumatatu should be a good start back to winning ways...

YNWA
. Ni kweli kabisa ila nw tumezidi Sana Sisi mashabiki tunataka Epl ya 20
 
Mi binafisi siamini kama Manure anatimu ya kuchukua ubingwa
Mkuu Manchester United sio wa kuwachukulia powa...

They lack the experience sustaining the pressure at the top since for long they haven't been in this good phase..

They now believe they are contenders and that is transpiring kwenye matokeo uwanjani i guess ndio timu yenye ushindi zaidi ya gemu10 kwenye losing position in 2020.. That shows the fighting spirit in the team... Ole has done its as player na ana experience he can share to his young team to keep cool heads..

We are still the favourite man..

We win our games and we are sorted regardless of whats others are doing..

YNWA
 
. Ni kweli kabisa ila nw tumezidi Sana Sisi mashabiki tunataka Epl ya 20
Bwana wee mashabiki wao lao moja tu ushindi haha hakuna lingine...

Tupo FA japo sioni Villa akituache salama..

Tupo UCL na RB hii gemu tunashinda kwani gemu hizi hukuna kupaki treni na Klopp mechi za hivyo hua anajikusanyia pointi sana tu...

EPL hatupo panic mode bado kwani zaidi ya Manchester United na Aston Villa timu nyingi hazipo kwneye fomu kama sisi...

YNWA
 
Sasa Soton anakuja huyo tusubiri tuje tumlaumu Salah kama kwamba yeye pekeyake ndiye mwenye mamlaka ya kufunga ili atupe ushindi wengine hawahusiki.
 
Timu yetu inaongoza kuwa na Midfielders wengi Yani ina Viungo 8 wa kati lakini wote kwa pamoja hawafiki Assists hata 5 za EPL kwenye michezo 16! Shame.

1) Fabinho
2) Thiago
3) Keita
4) Gini
5) Henderson
6) OX
7) Jones
8) Milner

Halafu anatokea Mtu anakuambia Coutinho hajaacha pengo lolote Liverpool!! Ivi Coutinho kwenye Midfield alikuwa anacheza Utopolo huu uliopo?
 
Timu yetu inaongoza kuwa na Midfielders wengi Yani ina Viungo 8 wa kati lakini wote kwa pamoja hawafiki Assists hata 5 za EPL kwenye michezo 16! Shame.

1) Fabinho
2) Thiago
3) Keita
4) Gini
5) Henderson
6) OX
7) Jones
8) Milner

Halafu anatokea Mtu anakuambia Coutinho hajaacha pengo lolote Liverpool!! Ivi Coutinho kwenye Midfield alikuwa anacheza Utopolo huu uliopo?

Katika wachezaji 20 wa kikosi cha kwanza, 8 ni Viungo?? Kweli Timu yetu imejaa useless Players.
 
Points za kijinga kabisa tulizopoteza
vs Fulham
vs Brighton
vs Albion
Yeah kweli..... but on a positive vibe, we're still top of the tree despite all that.

Timu 19 zilizobaki zinatamani sana kuwa nafasi ya LFC katika msimamo wa ligi. Katikati ya injury crisis tuliyo nayo, mimi binafsi sikutegemea kabisa tungekuwa hata kwenye top 4 by Christmas.

Tuna mtaji mzuri sana wa kuingia 2021. With key players coming back from the treatment room, we're more than good to give it a big go.

Bring on the Sotons tomorrow!
 
Niwe mkweli! Mimi sitoumia kwa kukosa Kombe msimu huu kwasababu Performance ya Timu yetu kwa sasa si yakubeba Kombe! Kitakachoniuma ni Manure kubeba Kombe! Bora tu abebe Man City ili Amani itawale 😂
Wenzanko hapa ANT-LIVERPOOL waliongea hivi hivi na baadae WAKAUFYATA!
Natunza hii bandiko lako la hovyo nitakukumbusha tena kabla ya May
Liverpool HALISI tuzidi kuwa nyuma ya team,ndiyo league ilivyo LKN Super genius Klopp atachukua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom