Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Man united siyo limbukeni wa kuongoza ligi
Tangu ameondoka Ferguson mnanini cha maana nyie?
Man united siyo limbukeni wa kuongoza ligi
Wameflop ila at least maana anapambambana... Salah na Firm may beDharau kuwa tuwaweke benchi kina Mane? Hawa wameflop afadhali ufungwe ukiwa na kikosi cha pili kuliko kupigwa na best players wako wote.
man city siyo bora kipindi hiki hapo epl(kumfunga chelsea haihalalishi kwamba wao ndo bora, wana makosa kibao)Mashabiki wa Manyumbu hawajawahi kuongoza ligi sasa wako tu juu hapo tayari wanajiona wameshachukua ubingwa,kiuhalisia bado sana.
Maana hapo bado man city kukaa juu hapo,Baada ya hapo mechi zitakuwa zimebaki chache,lakini sio sasa hivi ukae juu hapo useme nachukua ubingwa Safari,hapo hapana kabisa.mashabiki wa Manyumbu ilo hwalijui,muda utawahambia
Ni aibu kubwa sana..Precisely.
Hatukupata shot on target hata moja first half yote - how can we blame the officials for that?
Kuna kaugonjwa kameingia Klopp atafute tiba fasta kabla ya wanga hawajaanza "kloppout" zao!
Kama man united hajawahipo kuongoza liegue yale makombe 20 ya ligi ya uengereza ka pata vipi ??Mashabiki wa Manyumbu hawajawahi kuongoza ligi sasa wako tu juu hapo tayari wanajiona wameshachukua ubingwa,kiuhalisia bado sana.
Maana hapo bado man city kukaa juu hapo,Baada ya hapo mechi zitakuwa zimebaki chache,lakini sio sasa hivi ukae juu hapo useme nachukua ubingwa Safari,hapo hapana kabisa.mashabiki wa Manyumbu ilo hwalijui,muda utawahambia
City hana sumu.Kwenye kutisha had I tulipo Leo ni City. Game mbili mkononi aki win zote anaenda juu kwa alama mbili kama sikosei hawa pundamlia wanasindikiza tuu.
Mm naona man u hana ubora wahivo ila anajikongoja katikati ya wabovu sio mdaa round ya pili watalijua hiliiman city siyo bora kipindi hiki hapo epl(kumfunga chelsea haihalalishi kwamba wao ndo bora, wana makosa kibao)
team zilizo bora kwa kipindi hiki ni liverpool na MAN U tu hapo epl
kama ndo hivyo basi ligi nzima ya epl niwabovu woteMm naona man u hana ubora wahivo ila anajikongoja katikati ya wabovu sio mdaa round ya pili watalijua hilii
Aliyekuwa anajikongoja nyuma ya wabovu ni liver ya msimu uliopita... Ndio maana gap lilikuwa kubwa... Msimu huu kila timu inajitahidi kutoa upinzan... Ukizembea unakula nyingiMm naona man u hana ubora wahivo ila anajikongoja katikati ya wabovu sio mdaa round ya pili watalijua hilii
Mimi sina ushabiki maandazi kwa sababu ni Liverpool fans basi nitetee tu nijipe matumaini hewa NO.Anayeongoza ligi n nani na title contenders wanakuwaga wa sifa gani, tulia kk ubingwa tunachance bado usiwe na hofu. Haya raund ya pili haijaanza unawaza LFC forever
Mkuu Leo utalala uchii inaonekana, sema timu yako mbovu ni swala la mdaa tuu kujua kwamba manyumbu ni wabovuCity hana sumu.
Balaa lipo Manchester United.
pumzi imeshawakata hawa, kumbe ulikuwa ni moto wa mabua tu
Sawa ushaitoa liva kwenye kinyanganyiro cha ubingwa tutabirie bingwa kwa maono yako sasa?Mimi sina ushabiki maandazi kwa sababu ni Liverpool fans basi nitetee tu nijipe matumaini hewa NO.
WE HAVE BIG PROBLEMS.
Sio mchezo asee kazi ipo sijui adii link itakuwa hivi.Kuumia kwa VVD, Matip, Gomez hakika kumetupunguza sana mashambulizi yaani leo Saints wanakwenda na sisi jino kwa jino lol shikamoo EPL...
Impressive kwa kweli for the home team...
We are shaky, tense, lacking the basic to search for a win.. We lack momentum,.. We lack the vision, all whats has won us so much has gone through the window..
Now vs Aston Villa will be another defeat unless the team is reshuffled in the front...
Kazi ipo...
YNWA
Mkuu Leo utalala uchii inaonekana, sema timu yako mbovu ni swala la mdaa tuu kujua kwamba manyumbu ni wabovu
Kwa beki Henderson na Fabinho? labda wawe wamepona beki zenu ,kuna Fernandes now huna midfielder yako yoyote anayemfikia kwa assist au goliTutafungwa na wote ila sio nyumbu