Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mlivyochukua uefa wachawi tukasema hii timu inabidi isajili ili iwe fresh msimu ujao.

Klopp akasema hatasajili.

Timu ikachukua ligi. Wachawi tukarudia maneno tuliyorudia msimu uliopita.

Wakasajiliwa watu. Ila siyo mbadala wa trent na andrew. Klopp aliwaaminisha mashabiki kwamba yeye anadeal na makombe ya ligi na ucl, mengine siyo target, a plan to conceal ukweli kwamba hana kikosi kikubwa cha kutoa ushindani kwenye kila kombe.

Plan worked. liva ikifungwa fa au carabao mashabiki hawaoni tatizo, wanaita hizo trophy mickey mouse.

Maneno ya kutakiana mabaya ya misimu miwili nyuma yameanza kufanya kazi msimu huu. Trent ana workrate ndogo kuliko mchezaji yeyote kwa timu zote mbili kwa jana.

January hii hapa. Ili klopp aendelee na attacking fullbacks naamini anamuangalia lamptey na hakimi na anaona wanamfaa.

Liva inadrop points huku inacheza kwa kudominate, naamini baada ya goli la jana, wapo waliobeti live kwamba liva itashinda, unaona shots, passes, shots, unaamini kuna moja litaingia now ngoje nibet live niseme mechi suluhu.

Over time hata dominating a game itakua a distant memory, timu za ucl haziachani sana possession na liva na hilo likihamia kwenye ligi basi hapo itakua ni kuishi kile kipindi cha kuanzia 2008 mpaka 2014.

Kuhusu man u kushika namba moja, inakua ni kama kumuona tembo juu ya mti, wote hatujui kafikaje ila tuna uhakika ataanguka.

Uzi hukimbiwa timu ikianza mabreka. Ngoja tuone.
 
Game 3 una point 2 na goli moja halafu bado unajiita title contender!
Msimu uliopita top 4 wengi walikuwa hoi bin dhoofu ndio maana mkachukua ubingwa kwa style.
Klopp anawakimbiza wachezaji kama farasi wala hakuna ufundi wa kujivunia,siku hizi timu nyingi haziwaogopi ndio maana mnagawana point hadi na westbrowich.
Point ya kulalia usiku huu,first shot on target imepatikana dakika ya 73!
Mjifunze kwa dortmund msiwe wajinga
Kuanzia mwanzo wa msimu niliamini liver imefikia peak. Tena anapata matokeo kutokana na woga tu wa timu pinzani, ukimvaa bila woga unajipigia tu.
 
Vipi kumbe na naninyi mmebanduliwa jana. 🤪

Sasa ivi mnasongizia Central Back Defender. Mkishinda na hao hao utasikia Jones, matip Fabhino ni wazuri. Mpira hauchezwi mdomoni ndugu. Kuna muda upepo unavuma sivyo.
 
Tulikuwa tumeshasahau zile habari za kusingizia upepo, barafu, injuries za adui nk. Sasa tutaanza kuzisikia.
Mkuu sijajua ulikuwa bize na mechi au vipi niliangaza hapa mida ile sijakuona.... Kabla ya mechi yetu kule anfield tho sijajua matokeo yatakuwaje ila inabidi mambo yabadilike... Sharpness kwenye forward yenu haionekan kabisa... Wachezaji hawana njaa... Full back zenu hazimwagi tena maji ya uhakika... Ssa hivi mnajaribu kupiga penetration passes kitu ambacho si culture yenu tangia klopp aje... Game ya 17th yaweza kuwa ngumu zaidi.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sijajua ulikuwa bize na mechi au vipi niliangaza hapa mida ile sijakuona.... Kabla ya mechi yetu kule anfield tho sijajua matokeo yatakuwaje ila inabidi mambo yabadilike... Sharpness kwenye forward yenu haionekan kabisa... Wachezaji hawana njaa... Full back zenu hazimwagi tena maji ya uhakika... Ssa hivi mnajaribu kupiga penetration passes kitu ambacho si culture yenu tangia klopp aje... Game ya 17th yaweza kuwa ngumu zaidi.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app

Hicho kitu tumekuwa tunakiandika game hadi game, ukipitia posts za humu malalamiko hayo ni toka tulivyojua kwamba tumechukua ubingwa wa 2019/2020.

At least Jota alileta uhai kwenye Frontline, ila kocha hakuwa anataka utatu wake wa Salah, Mane na Firmino uguswe.

Wachezaji wanachoka, timu iliyokaa pamoja ikachukua UEFA na EPL ndani ya misimu miwili kikawaida inahitaji kuletwa sura mpya angalau kuwa na watu ambao wana njaa, hawa wameshiba. Wamebaki wanacheza game kwa game.
 
Hicho kitu tumekuwa tunakiandika game hadi game, ukipitia posts za humu malalamiko hayo ni toka tulivyojua kwamba tumechukua ubingwa wa 2019/2020.

At least Jota alileta uhai kwenye Frontline, ila kocha hakuwa anataka utatu wake wa Salah, Mane na Sadio uguswe.

Wachezaji wanachoka, timu iliyokaa pamoja ikachukua UEFA na EPL ndani ya misimu miwili kikawaida inahitaji kuletwa sura mpya angalau kuwa na watu ambao wana njaa, hawa wameshiba. Wamebaki wanacheza game kwa game.
Ndio nachokiona mkuu... Hakuna ile overturn ya ile 7 0 kwa crystal... Na confidence inapotea kidogo kidogo mfano kipindi cha kwanza hata aerial duals walikuwa wanaziwin soton

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Tuliwa dawa iwaingie wagonjwa wa Anfield

Ggmu
Mashabiki wa Manyumbu hawajawahi kuongoza ligi sasa wako tu juu hapo tayari wanajiona wameshachukua ubingwa,kiuhalisia bado sana.

Maana hapo bado man city kukaa juu hapo,Baada ya hapo mechi zitakuwa zimebaki chache,lakini sio sasa hivi ukae juu hapo useme nachukua ubingwa Safari,hapo hapana kabisa.mashabiki wa Manyumbu ilo hwalijui,muda utawahambia
 
Hicho kitu tumekuwa tunakiandika game hadi game, ukipitia posts za humu malalamiko hayo ni toka tulivyojua kwamba tumechukua ubingwa wa 2019/2020.

At least Jota alileta uhai kwenye Frontline, ila kocha hakuwa anataka utatu wake wa Salah, Mane na Sadio uguswe.

Wachezaji wanachoka, timu iliyokaa pamoja ikachukua UEFA na EPL ndani ya misimu miwili kikawaida inahitaji kuletwa sura mpya angalau kuwa na watu ambao wana njaa, hawa wameshiba. Wamebaki wanacheza game kwa game.
Mkuu, utatu wa salah, mane na sadio haupo. Ama labda sijui kitu.
 
Ndio nachokiona mkuu... Hakuna ile overturn ya ile 7 0 kwa crystal... Na confidence inapotea kidogo kidogo mfano kipindi cha kwanza hata aerial duals walikuwa wanaziwin soton

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app

Game ya jana Soton walikuwa wazuri kutuzidi.

Hicho ndicho nachoweza kusema.

Safari bado ni ndefu ila msimu huu sioni matumaini, labda hii loss ilazimishe aletwe beki ili Fabinho arudi kiungo.
 
Nitatofautiana na mtazamo wako kidogo, msimu uliopita timu zilikuwa sawa sawa na msimu huu, isipokuwa Liverpool alikuwa Bora Sana.

Mpaka game ya 17, Liverpool alikuwa ameshinda 16 na ametoa draw 1, points 49 hizo out of 51. Wanaomfatia walikuwa na points kama hizi tulizoko sasa hivi.

Katika mtazamo mwingine ambao nakuondoa kwenye watu wa mpira, ni kusema eti Klopp hana ufundi wowote isipokuwa anawakimbiza wachezaji. Huu ni mtazamo wa kishabiki au wa mbumbumbu wa mpira.
Mkuu hebu tizama vizuri mtu wa pili mmemuacha kwa points 10! Kwanini unasema timu zilikuwa sawa na msimu huu! nyie bora zaidi? Mimi naona msimu huu kila mtu anadrop point ukijisahau tofauti na msimu uliopita.
SmartSelect_20210105-074259_Samsung%20Internet.jpg


Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Game ya jana Soton walikuwa wazuri kutuzidi.

Hicho ndicho nachoweza kusema.

Safari bado ni ndefu ila msimu huu sioni matumaini, labda hii loss ilazimishe aletwe beki ili Fabinho arudi kiungo.
Hendo kucheza CB nayo ni flaw kubwa sana... Ngoja tuone mwl atajipangaje.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom