Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu hebu tizama vizuri mtu wa pili mmemuacha kwa points 10! Kwanini unasema timu zilikuwa sawa na msimu huu! nyie bora zaidi? Mimi naona msimu huu kila mtu anadrop point ukijisahau tofauti na msimu uliopita. View attachment 1668257

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app

Nimekupata, labda niulize swali, unadhani Liverpool hii vs Liverpool ya msimu uliopita zina ubora sawa?

Ukiacha Leicester, wengine wote point walizonazo ni almost sawa na waliyokuwa nazo kipindi hicho. Kwa hiyo last year into first 17 games, Leicester na Liverpool ndo wahanga zaidi, Chelsea na Man Utd wako a bit betteroff ukilinganisha na mwaka jana.
 
Hendo kucheza CB nayo ni flaw kubwa sana... Ngoja tuone mwl atajipangaje.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app

Hendo kokote anakopangwa binafsi naona sawa tu, huwa sioni impact yake uwanjani.

Nikiuliza washabiki wenzangu wananiambia kazi yake haiwezi kuonekana kwa macho ya kawaida, imebidi nikubali nisije kuonekana nina macho mabaya.

Problem yangu ni kutofanya additions, enzi za Fergie ilikuwa kikosi kikionekana kinaanza kuridhika analeta mtu mpya kuchangamsha. Sisi tumeamua kutulia.
 
Pigaa hizi kuku
Jana salah alikuwa analanda landa tu uwanjan Kama mpiga debe wa ubungo

Mane nae yupo yupo tu anajiangusha kusubili penalty, pigaaa mbwa hizi

Huyo alcantara hana tofauti na onyango, mmepigwa

Pigaaa kuku hizi mpaka zimepoteana
 
Watu wanaichukulia poa Sana Liverpool

Team yetu ni hatari Sana

Inaweza kukupa matokeo ya kipumbavu au matokeo ya hatari inategemea na mood hapo ndo ujinga unakuja

Ngoja Jota apone wataelewa
Umeonge point tupu mkuu
 
Nimekupata, labda niulize swali, unadhani Liverpool hii vs Liverpool ya msimu uliopita zina ubora sawa?

Ukiacha Leicester, wengine wote point walizonazo ni almost sawa na waliyokuwa nazo kipindi hicho. Kwa hiyo last year into first 17 games, Leicester na Liverpool ndo wahanga zaidi, Chelsea na Man Utd wako a bit betteroff ukilinganisha na mwaka jana.
Nakubali.. Liverpool ya last season was fire ila wa chini yake labda tumuondoe vardy na timu yake walikuwa hovyo... As angalia msimu huu margin ndogo sana kuanzia nafasi ya 6 kupanda juu... Kingine wengine wengi wanasahau issue ya kukosa pre-season msimu imezicost hizi timu dearly na concentration ya kumalizia msimu after lockdown was so bloody breathtaking... Mpaka ssa naweza kusema baada ya game mbili zijazo za utd ndio kitu title race chaweza kuwa valid.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Hendo kokote anakopangwa binafsi naona sawa tu, huwa sioni impact yake uwanjani.

Nikiuliza washabiki wenzangu wananiambia kazi yake haiwezi kuonekana kwa macho ya kawaida, imebidi nikubali nisije kuonekana nina macho mabaya.

Problem yangu ni kutofanya additions, enzi za Fergie ilikuwa kikosi kikionekana kinaanza kuridhika analeta mtu mpya kuchangamsha. Sisi tumeamua kutulia.
Hili najiuliza how mwl halioni? Depth ya timu imeshuka but bado no additions.. Utd yenyewe ina flaw kwenye CB na miscellaneous kama RW na proper striker but kwenu nyie mlikuwa muwe na mbadala wa VVD na TAA muda mrefu na pale kati still huyu Muispanyola si mtu sahihi sana.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom